Je, kutolewa kwa Yanga wameonyesha fair play kwenye kombe la mapinduzi?

Je, kutolewa kwa Yanga wameonyesha fair play kwenye kombe la mapinduzi?

Wametuzidi bao moja tu mkuu. Ila kiukweli kitendo cha wachezaji waliokuwa batani kufungashwa kwenye boat kucheza mpira wakati hawana match fitness ni Mungu tu kajua ya mbeleni katunusuru. Bora utolewe na Azam kuliko maumivu ya kufungwa na mtani wako magoli 2+
Kabisa mkuu..,.....hii ingekua mbaya Zaid tungefungwa na mnyama
 
Asee, ninachojua mimi kama yanga wangecheza na Namungo, basi Mwiko ungechomolewa asubuhi tuu.

Pia kwamba wamemuachia Mnyama siyo kweli, utokaji wao uwanjani kwa unyonge kama mbuzi wa kafara ulionesha kuwa Uto wamepigwa Utosini, over!
 
Mkuu tukienda kwenye uhalisia wa mambo ni kwamba viongozi wa Yanga hawajitambui. awali uongozi wa Yanga waliidharau mashindano na ndio maana wachezaji muhimu pamoja na kocha mkuu wakapewa mapumziko tofauti na ilivyokuwa kwa Simba ambapo waliitumia hii michuano kimalengo zaidi ya kuimarisha kikosi chao zaidi na ndio maana umeona kwanzia mechi ya kwanza Simba na Azam wameweka wachezaji karibia wote waliokuwa wanaanza kikosi cha kwanza.

Hao hao viongozi wanageuka tena kuona kuna umuhimu wa Yanga kufuzu hatua ya nusu fainali hivyo wakakurupuka kuwazoa wakina Bangala ambao waliokuwa wanakula bata tu mtaani unawazoa wafanye mazoezi siku moja tena kwa masaa kadhaa halafu kesho yake wacheze mechi. Aisee mpira hauko hivyo

Ukija upande wa wachezaji ni kwamba ukiangalia nafsini mwao hakuna hata mmoja aliyetamani kutolewa. Na ndio maana unaona akipiga penati kisha akapata anafurahia mno na alipokosa Yasin walinyong'onyea mno. Wachezaji walitamani wafuzu ila wamezidiwa na Azam.
Exactly.
 
Wametuzidi bao moja tu mkuu. Ila kiukweli kitendo cha wachezaji waliokuwa batani kufungashwa kwenye boat kucheza mpira wakati hawana match fitness ni Mungu tu kajua ya mbeleni katunusuru. Bora utolewe na Azam kuliko maumivu ya kufungwa na mtani wako magoli 2+
Waliona mbali
 
Asee, ninachojua mimi kama yanga wangecheza na Namungo, basi Mwiko ungechomolewa asubuhi tuu.

Pia kwamba wamemuachia Mnyama siyo kweli, utokaji wao uwanjani kwa unyonge kama mbuzi wa kafara ulionesha kuwa Uto wamepigwa Utosini, over!
Mkuu....kumbe hujawahi shuhudia ....unakuta mdada analia ......kumbe anaku anakuzuga
 
Bado hamjafika viwango vya kuichangia Simba Sc.
kaymziwanda1%2BInstaUtility_-00_CYnshBZqk5h_11-271629300_339358461136284_731395176940732224_n.jpg
 
Back
Top Bottom