Je, kutumia sex toys kujichua ni cheating kwa mpenzio?

Je, kutumia sex toys kujichua ni cheating kwa mpenzio?

Duh vipuri tena! Mimi nilijua vipo kwenye magari tu
 
Siriaz..
Sikutaka kueka kiroho zaidi

Ila kuna mahali nilisoma hii kitu pia ina athari koroho
Binadamu ni nafsi japo anakaa kwenye mwili. Kwa hiyo kila dhambi inayofanyika inamuathiri mwanadamu kwanza na nyingine zinaathiri mwili aishimo.

Kuzini na sanamu kuna madhara kama ambavyo kuzini na mtu kuna madhara. Ukiacha kwamba ni dharau keese Mungu, ni ibada kwa shetani.

Sasa fikiria madhara ya kundharau Mungu, kumwabudu shetani na kuumizo nafsi yako.

Lazima uwe abnormal. Na kama ukiendelea kujiua hakuepukiki
 
[emoji1787][emoji23]
Sidhani kama utaionea wivu sabuni ukimkuta mwenza wako anajichua,,

Sio jambo zuri kiafya na kiimani na hana sababu yeyote ya kufanya hivyo kama wewe upo,,

Zaidi zaidi kakudharisha kwamba Bora sabuni kuliko wewe,,,
 
Binadamu ni nafsi japo anakaa kwenye mwili. Kwa hiyo kila dhambi inayofanyika inamuathiri mwanadamu kwanza na nyingine zinaathiri mwili aishimo.

Kuzini na sanamu kuna madhara kama ambavyo kuzini na mtu kuna madhara. Ukiacha kwamba ni dharau keese Mungu, ni ibada kwa shetani.

Sasa fikiria madhara ya kundharau Mungu, kumwabudu shetani na kuumizo nafsi yako.

Lazima uwe abnormal. Na kama ukiendelea kujiua hakuepukiki
Kuna research Niliona inasema watu wengi wanaopiga puli wameshasumbuliwa na mawazo ya kujiua kwny Maisha Yao.
 
Achana nao mkuu, hawana maana hao. Kitu cha kwanza ambacho nakichukia hapa duniani ni wanawake anafatia ndugu yao shetani.. toka nimeanza ishi hiyo life style nimeanza hata kupata maendeleo

Kuna mwanamke nipo na addiction or may be obsessed naye-nikiweza kuipoteza hii addiction nitakuwa in a better place..... Let me start working on it,may be nitafanikiwa.

Uniombee 😅😅😅
 
Kuna mwanamke nipo na addiction or may be obsessed naye-nikiweza kuipoteza hii addiction nitakuwa in a better place..... Let me start working on it,may be nitafanikiwa.

Uniombee 😅😅😅
Hahaha! Mle hadi umkinai kwanza , mie nawachukia kwasababu nimekinai hakuna kipya kwao tena na hivi na makelele yao siwataki tu
 
Hahaha! Mle hadi umkinai kwanza , mie nawachukia kwasababu nimekinai hakuna kipya kwao tena na hivi na makelele yao siwataki tu
Yaani simkinaigi aseeeh,Kila nikimuona nasisimka na ni mwaka wa 11 huu..... Nadhani ni psychological effects. Nitatafuta utatuzi wa kitaaluma zaidi
 
Kuna mwanamke nipo na addiction or may be obsessed naye-nikiweza kuipoteza hii addiction nitakuwa in a better place..... Let me start working on it,may be nitafanikiwa.

Uniombee [emoji28][emoji28][emoji28]

Tunakuombea
 
Inaepusha na aibu kama hizi
1662373433702.jpg
 
Yaani simkinaigi aseeeh,Kila nikimuona nasisimka na ni mwaka wa 11 huu..... Nadhani ni psychological effects. Nitatafuta utatuzi wa kitaaluma zaidi
Kama vipi chumbia weka ndani rasmi, wajuba tulete michango
 
Back
Top Bottom