Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa jirani🤜Hapo sawa kabisa... usiwe na muda na hayo mambo kabisa jirani...
Mwenzangu[emoji1787]huko mjini kuna mengi njoja nirudi kwetu koromije mimiDuh vipuri tena! Mimi nilijua vipo kwenye magari tu
Binadamu ni nafsi japo anakaa kwenye mwili. Kwa hiyo kila dhambi inayofanyika inamuathiri mwanadamu kwanza na nyingine zinaathiri mwili aishimo.Siriaz..
Sikutaka kueka kiroho zaidi
Ila kuna mahali nilisoma hii kitu pia ina athari koroho
Kuna research Niliona inasema watu wengi wanaopiga puli wameshasumbuliwa na mawazo ya kujiua kwny Maisha Yao.Binadamu ni nafsi japo anakaa kwenye mwili. Kwa hiyo kila dhambi inayofanyika inamuathiri mwanadamu kwanza na nyingine zinaathiri mwili aishimo.
Kuzini na sanamu kuna madhara kama ambavyo kuzini na mtu kuna madhara. Ukiacha kwamba ni dharau keese Mungu, ni ibada kwa shetani.
Sasa fikiria madhara ya kundharau Mungu, kumwabudu shetani na kuumizo nafsi yako.
Lazima uwe abnormal. Na kama ukiendelea kujiua hakuepukiki
Achana nao mkuu, hawana maana hao. Kitu cha kwanza ambacho nakichukia hapa duniani ni wanawake anafatia ndugu yao shetani.. toka nimeanza ishi hiyo life style nimeanza hata kupata maendeleo
Hahaha! Mle hadi umkinai kwanza , mie nawachukia kwasababu nimekinai hakuna kipya kwao tena na hivi na makelele yao siwataki tuKuna mwanamke nipo na addiction or may be obsessed naye-nikiweza kuipoteza hii addiction nitakuwa in a better place..... Let me start working on it,may be nitafanikiwa.
Uniombee 😅😅😅
Yaani simkinaigi aseeeh,Kila nikimuona nasisimka na ni mwaka wa 11 huu..... Nadhani ni psychological effects. Nitatafuta utatuzi wa kitaaluma zaidiHahaha! Mle hadi umkinai kwanza , mie nawachukia kwasababu nimekinai hakuna kipya kwao tena na hivi na makelele yao siwataki tu
Kuna mwanamke nipo na addiction or may be obsessed naye-nikiweza kuipoteza hii addiction nitakuwa in a better place..... Let me start working on it,may be nitafanikiwa.
Uniombee [emoji28][emoji28][emoji28]
Mademu wengi wa kibongo hapo ndo wanapofeli wana vitambi sana kumpat flat ni changamotoTatizo wake wanajinenepa hovyo
Demu unakuta ana tako na mtumbo juu kwa kweli changamotoMademu wengi wa kibongo hapo ndo wanapofeli wana vitambi sana kumpat flat ni changamoto
Wana ulaji wa ovyo sana michemsho, mibia, minyama halafu hawana mazoezi.Demu unakuta ana tako na mtumbo juu kwa kweli changamoto
Ili upate utelezi au?Thanks!
Seriously niombee
Niachane na kupenda utelezi ,,,, nifanye ishu zingine za maendeleoIli upate utelezi au?
Kama vipi chumbia weka ndani rasmi, wajuba tulete michangoYaani simkinaigi aseeeh,Kila nikimuona nasisimka na ni mwaka wa 11 huu..... Nadhani ni psychological effects. Nitatafuta utatuzi wa kitaaluma zaidi
Yaani acha tu Wala hachelew kucomment😂😂😂Wewe jamaa kitu chochote cha sex uko onboard 😂
Yuko very keen dakika zero kafikaYaani acha tu Wala hachelew kucomment😂😂😂