Je, kwa aina hii ya kujichua nitakua salama baadae?

Je, kwa aina hii ya kujichua nitakua salama baadae?

Nyie jamaa hamjamwelewa, yeye alishatoboa tobo moja kwenye hilo godoro, kwa hiyo kila akitaka kupiga anatumia tobo hilo hilo, so kajitengenezea papuci yake tayari.
hahahaahahahba papuchi yake....mimi naogopa hii kitu so siku umepata bebe kaona tobo unamjibu vp?????
 
Habari wana JF,

Mimi ni mpiga punyeto maarufu sana. Lakini punyeto yangu ipo hivi huwa nanunua condom alafu natoboa godoro alafu naweka maji kwenye tundu la godoro then napaka sabuni naanza kupiga kazi na najihisi raha kama ile ukiwa na demu, je hapo napo kuna madhara baadae?

Naombeni mniambie wadau
Mkuu ipo moja ya kutumia MGOMBA....aisee hyo TAKO SITA TU...unarudi kati...video ninayo ila naogopa BAN mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli hapo kuna madhara tena makubwa kwanza unaichosha misuli ya uume wako pia nguvu inayotumika kulazimisha hisia ni kubwa sana ndo maana wanaume wengi wanaopiga puchu huwa wanawahi kufika kileleni kuliko kawaida pale wanapokutana na demu. Tatu huwa inadhoofisha mwili kwani wengi hushindwa kujizuia na kujikuta wakifanya kila siku tena hata zaid ya Mara moja. Kutokana haina gharama na ni njia rahisi. Cha kukushauri achana nayo mi nilikuwa ni bingwa wa kupiga hiyo kitu siku za nyuma mpaka ni kaona suluhisho pekee ni kuoa lakini ikawa bado haitoshi siku wife akisafili au nikiwa nipo mbali na wife mwendo ni uleule. Ila tangu nilipompokea yesu akawa ni mwokozi wa maisha yangu kwa sasa nimeacha kabisa huu ni mwaka wa 5 naenjoy tendo la ndoa na MKE wangu tena kwa sasa ni baba mwenye watoto 2
 
Unamastabetije? Utakua msenge in the making. Wanawake wote unaenda kutoboa magodoro? Soon utatobolewa na wewe
 
MKUU NAJIVUA CHEO CHA STRUCTURING ENGINEER KATIKA CHAMA CHA PUNYETO (CHAPUTA) NA BADALA YAKE NAKUKABIDHI HIKI CHEO

ILA ANGALIZO MKUU, KUWA MAKINI, UTABAKA WATOTO, UKIWA MZOEFU WA NYETO KIWANGO HKO BASI UTAATHIRIKA KISAIKOLOJIA HALAFU UTAJIKUTA UNAMTAMANI KILA MWANAMKE. AWE MTOTO, MKUBWA, MBAYA, MZURI, NDUGU YAKO, N.K.

TAFUTA MWANAMKE MKUU UTABAKA KUKU.
 
Mkuu ukipata wa kukushaur vizuri kwenye huu Uzi ni tag
 
Ukiendelea hivo utasikia hadi godoro linatoa sauti ya kimahaba, amini usiamin kujichua mara nyingi kuna ambatana na pepo wachafu, waharibifu, linganisha siku ambayo unajichua na siku usiyo jichua
 
Nyeto mbaya, acha mara moja, hii ya kutoboa godoro nilishapiga miaka kumi iliyopita, then nilikuwa napaka mafuta ya baby care kwenye dushe, athari naanza kuziona sahv, macho yanakosa nguvu, yanatoa machozi, siwezi kusoma maandishi yakiwa mbali, mwili kuishiwa nguvu misuli kuuma, hata nikienda hospitali naambiwa sina tatizo mwilini.
Athari za punyeto ni nyingi sana usisubiri hadi uanze kuziona ndio uache.
Hapo mwanzoni mi nilikuwa ni M/kiti wa CHAPUTA, lakini niliachia madaraka ghafla
 
Back
Top Bottom