luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Mh labda de agosto ya kigamboniMkuu Sasa unadhani yanga watashindwa kupiga 7__0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh labda de agosto ya kigamboniMkuu Sasa unadhani yanga watashindwa kupiga 7__0
De Agosto semi final walifika 2018.Labda ungeuliza huko nusu fainali walikofika hao Agosto ni mwaka gani kabla hujahoji kitoto hivyo. Ila ukitaka kujua waweza kupata hizo data bila hata kuuliza na ungepata hizo data hilo swali usingeuliza . Jiongeze kidogo. Kwa nini hata kuangalii ranking yao katika CAF?
Teh teh acha majungu mkuuNyie jitekenyeni tu.wenzenu wanakwenda makundi .wanakula mpunga.
Endeleeni kulalamika tu kuwa mmepangiwa timu ngumu.
Hapo hamjacheza na Al ahly Wala wamorocco .
Mimi naona Bora mtoke mapema kutuondolea aibu za kimataifa
perfectLkn pia waliwahi pigwa na namungo 6_2
Kama Al hilal wamewashindwaKama namungo waliwaweza sisi tutashindwaje