Je kwa deni hili, sheria inasemaje?

deni linaweza kuitwa deni tu kama umemlipa kidogo kati ya hizo pesa anazo kudai, lakin kama huajmlipa hata mia unaweza kubadilishiwa kesi ikaandikwa wizi wa kuaminiwa,hapo unaenda mahakamni na unaweza kufungwa,tafuta hata laki 2 umpe ili utoke kwenye danger zone tafadhali utaandikiwa wizi wa kuamniniwa na utafungwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…