Je, kwa hali hii Ardhi yangu imepotea?

Je, kwa hali hii Ardhi yangu imepotea?

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,917
Reaction score
11,801
Kuna jamaa aliniuzia ardhi miaka kama 14 iliyopita, Mimi nikaendelea kutumia, mwaka huu wameibuka ndugu zake wanasema ardhi ile ni ya urithi(familia) ambayo baba yao alirithi toka babu yao hivyo kuijumuisha kwenye mirathi na wanasema hawakujua kuwa ndugu yao ameuza ardhi.

Nifanyeje hapa ndugu zangu wanasheria.
 
Kuna jamaa aliniuzia ardhi miaka kama 14 iliyopita, Mimi nikaendelea kutumia, mwaka huu wameibuka ndugu zake wanasema ardhi ile ni ya urithi(familia) ambayo baba yao alirithi toka babu yao hivyo kuijumuisha kwenye mirathi na wanasema hawakujua kuwa ndugu yao ameuza ardhi.

Nifanyeje hapa ndugu zangu wanasheria.
This is a bit complicated, waone wanasheria wa ardhi......
You can plead time limitation, but the problem will arise from the start of the notice of sale by the applicants (familia)....... time starts to run from the notice of sale by familia??? or from the time you bought the land???
 
Kuna jamaa aliniuzia ardhi miaka kama 14 iliyopita, Mimi nikaendelea kutumia, mwaka huu wameibuka ndugu zake wanasema ardhi ile ni ya urithi(familia) ambayo baba yao alirithi toka babu yao hivyo kuijumuisha kwenye mirathi na wanasema hawakujua kuwa ndugu yao ameuza ardhi.

Nifanyeje hapa ndugu zangu wanasheria.

Nadhani kama ulifuata process zote haina shida iyo na hao wanafamilia miaka yote iyo walikuwa wapi??
 
This is a bit complicated, waone wanasheria wa ardhi......
You can plead time limitation, but the problem will arise from the start of the notice of sale by the applicants (familia)....... time starts to run from the notice of sale by familia??? or from the time you bought the land???
Sale ilikuwa void ab initio kwa sababu jamaa hakuwa na title ndo yale yale ya kesi ya Pazi na ndugu zake zidi ya sauli
 
Kuna jamaa aliniuzia ardhi miaka kama 14 iliyopita, Mimi nikaendelea kutumia, mwaka huu wameibuka ndugu zake wanasema ardhi ile ni ya urithi(familia) ambayo baba yao alirithi toka babu yao hivyo kuijumuisha kwenye mirathi na wanasema hawakujua kuwa ndugu yao ameuza ardhi.

Nifanyeje hapa ndugu zangu wanasheria.
Wahi mahakamani kaweke zuio na kufungua kesi ya kuingiliwa makazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa aliniuzia ardhi miaka kama 14 iliyopita, Mimi nikaendelea kutumia, mwaka huu wameibuka ndugu zake wanasema ardhi ile ni ya urithi(familia) ambayo baba yao alirithi toka babu yao hivyo kuijumuisha kwenye mirathi na wanasema hawakujua kuwa ndugu yao ameuza ardhi.

Nifanyeje hapa ndugu zangu wanasheria.
Huo mchezo wanafanya sana siku hizi ila wanaambiana halafu hela wanaenda kugawana mi walitaka kunifanyia huo ujinga nikawaambia document zote ninazo mfuateni ndugu yenu awape hela zenu au muchange mnirudishie hela yangu sijawaona mpaka sasa hivi.
 
Kuna jamaa aliniuzia ardhi miaka kama 14 iliyopita, Mimi nikaendelea kutumia, mwaka huu wameibuka ndugu zake wanasema ardhi ile ni ya urithi(familia) ambayo baba yao alirithi toka babu yao hivyo kuijumuisha kwenye mirathi na wanasema hawakujua kuwa ndugu yao ameuza ardhi.

Nifanyeje hapa ndugu zangu wanasheria.
Ingawa umeeleza sio kwa undani sana,
kuna maswali ya kujiulizakabla ya kwenda kokote
1. Je una hati miliki?
2. Je wakati unauziwa ulijiridhisha yeye ndio mmliki?
3. Je kuna viashiria kuwa huyo ndugu alikutapeli na hakuwa mwenye eneo?
Kumbuka ukiuziwa eneo kwa kutapeliwa haimanishi wew ndio una haki?
kikubwa hapo uangalie mazingira yalivyokuwa tangu unanunua hadi sasa ikiwezekana washirikishe wataalamu.
uwezekano wa kupata haki yako upo na uwezekano wa kukosa haki yako upo ila unaweza ambulia hata hela.
 
Mkuu hapo pagumu sana
Itategemea mazingira mliouziana yalikuaje..... ulijiridhisha? Una hati gani? Nk
Hakuna halali kwenye kununua mali ya wizi

Nilipata haya maswahiba
Kwa bahati nzuri sana wanafamilia walikua na utu wakaamua kuniachia lakini wakamkata jamaa kwenye migao mingine ya familia kufidia kiwanja alichoniuzia
 
Kuna jamaa aliniuzia ardhi miaka kama 14 iliyopita, Mimi nikaendelea kutumia, mwaka huu wameibuka ndugu zake wanasema ardhi ile ni ya urithi(familia) ambayo baba yao alirithi toka babu yao hivyo kuijumuisha kwenye mirathi na wanasema hawakujua kuwa ndugu yao ameuza ardhi.

Nifanyeje hapa ndugu zangu wanasheria.
Suala lako hili ni gumu kidogo.
1.Je, nyaraka za mauziano ya ardhi (mikataba) unayo?
2.Je, huyo aliyekuuzia bado yupo hai na anapatikana?
3.Baada ya kununua ulifanya maendelezo gani kwenye hiyo ardhi?Je,ulipanda mazao ya kudumu au kujenga nyumba ya kudumu??
4. Hao ndugu zake wanaishi umbali gani kutoka kwenye hilo shamba/ kiwanja kilipo??Je, kwa muda wote huo wa miaka 14 ina maana hawajawahi kuzuru hata mara moja kwenye hilo shamba/kiwanja??
5.Hao ndugu zake waliokuja Wana nyaraka gani za umiliki wa ardhi hiyo??
6.Kabla ya kununua, Je, wewe ulifanya uchunguzi wa kina (due diligence) ili kujua historia kamili ya umiliki wa ardhi hiyo?

Endapo kama una mkata halali wa mauziano ya ardhi, mtu aliyekuuzia hayupo au hapatikani kwa sasa, na ikiwa umepanda mazao ya kudumu au kujenga nyumba ya kudumu, basi wewe endelea kuitumia ardhi hiyo.Wala usithubutu kwenda kuanzisha Kesi Mahakamani, subiri kesi waende wakaianzishe hao ndugu zake wanaodai kuwa na maslahi kwenye ardhi hiyo. Kama haujapanda mazao ya kudumu au kujenga nyumba ya kudumu tafadhali fanya hivyo haraka sana, Jenga nyumba ndogo hata ya chumba kimoja ili kujenga ushahidi wa wazi unaoonekana kwa macho wa kumiliki ardhi hiyo.
TANBIHI:
SILAHA YA MUHIMU YA KUJITETEA NA KUJIHAMI NAYO KATIKA SUALA LAKO HILI KWA SASA.
Hao ndugu zake endapo kama wataenda kufungua Kesi Mahakamani, unatakiwa kujitetea kwa kuwawekea PINGAMIZI LA AWALI (Preliminary Objection) kwa Hoja ya Ukomo wa Muda wa Kufungua Mashitaka ya Madai Ardhi kwa Suala kama lako hili chini ya Sheria ya Ukomo pamoja na Kanuni zake (The Law of Limitations Act). Tafadhali muone Wakili ili akusaidie na kukuongoza vizuri zaidi ktk suala hili.
Angalizo: Ukienda kuanzisha Kesi Mahakamani kwa suala lako hili lenye scenario kama hii, utakuwa umejipalia makaa na kujichimbia kaburi lako wewe mwenyewe kwa sababu inaonekana kama ulifanya uzembe fulani kwemye suala hili.
Kitu cha muhimu ni kutunza mkataba wako wa mauziano ya ardhi, uwe nao muda wote kuanzia sasa.
 
Kuna jamaa aliniuzia ardhi miaka kama 14 iliyopita, Mimi nikaendelea kutumia, mwaka huu wameibuka ndugu zake wanasema ardhi ile ni ya urithi(familia) ambayo baba yao alirithi toka babu yao hivyo kuijumuisha kwenye mirathi na wanasema hawakujua kuwa ndugu yao ameuza ardhi.

Nifanyeje hapa ndugu zangu wanasheria.
Kama ni kweli hiyo Aridhi ni ya Marehemu, basi hesabu umepigwa,maana hukuipata kwa njia ya kupitia Msimamizi halali wa Mirathi! Mali za Marehemu zina taratibu zake kabla ya kujimilikisha au kuziiuza kwa watu wengine!!
 
Suala lako hili ni gumu kidogo.
1.Je, nyaraka za mauziano ya ardhi (mikataba) unayo?
2.Je, huyo aliyekuuzia bado yupo hai na anapatikana?
3.Baada ya kununua ulifanya maendelezo gani kwenye hiyo ardhi?Je,ulipanda mazao ya kudumu au kujenga nyumba ya kudumu??
4. Hao ndugu zake wanaishi umbali gani kutoka kwenye hilo shamba/ kiwanja kilipo??Je, kwa muda wote huo wa miaka 14 ina maana hawajawahi kuzuru hata mara moja kwenye hilo shamba/kiwanja??
5.Hao ndugu zake waliokuja Wana nyaraka gani za umiliki wa ardhi hiyo??
6.Kabla ya kununua, Je, wewe ulifanya uchunguzi wa kina (due diligence) ili kujua historia kamili ya umiliki wa ardhi hiyo?

Endapo kama una mkata halali wa mauziano ya ardhi, mtu aliyekuuzia hayupo au hapatikani kwa sasa, na ikiwa umepanda mazao ya kudumu au kujenga nyumba ya kudumu, basi wewe endelea kuitumia ardhi hiyo.Wala usithubutu kwenda kuanzisha Kesi Mahakamani, subiri kesi waende wakaianzishe hao ndugu zake wanaodai kuwa na maslahi kwenye ardhi hiyo. Kama haujapanda mazao ya kudumu au kujenga nyumba ya kudumu tafadhali fanya hivyo haraka sana, Jenga nyumba ndogo hata ya chumba kimoja ili kujenga ushahidi wa wazi unaoonekana kwa macho wa kumiliki ardhi hiyo.
TANBIHI:
SILAHA YA MUHIMU YA KUJITETEA NA KUJIHAMI NAYO KATIKA SUALA LAKO HILI KWA SASA.
Hao ndugu zake endapo kama wataenda kufungua Kesi Mahakamani, unatakiwa kujitetea kwa kuwawekea PINGAMIZI LA AWALI (Preliminary Objection) kwa Hoja ya Ukomo wa Muda wa Kufungua Mashitaka ya Madai Ardhi kwa Suala kama lako hili chini ya Sheria ya Ukomo pamoja na Kanuni zake (The Law of Limitations Act). Tafadhali muone Wakili ili akusaidie na kukuongoza vizuri zaidi ktk suala hili.
Angalizo: Ukienda kuanzisha Kesi Mahakamani kwa suala lako hili lenye scenario kama hii, utakuwa umejipalia makaa na kujichimbia kaburi lako wewe mwenyewe kwa sababu inaonekana kama ulifanya uzembe fulani kwemye suala hili.
Kitu cha muhimu ni kutunza mkataba wako wa mauziano ya ardhi, uwe nao muda wote kuanzia sasa.
Achaa kumzungusha njia ndefu sana ya kutatua mgogoro, kwa kifupi waende Mahakamani, yeye aithibitishie Mahakama kua yule aliyemuuzia ile Aridhi ni kweli kua yeye ndiyo mmiliki halali wa ile Aridhi, na upande wa pili wanajukumu la kuthibitisha kua kweli ile Aridhi ni ya Marehemu Babu yao! Baada ya hapo Mahakama itaamua kwa Haki Baada ya kuwasikiliza pande zote mbili pamoja na ushahid wao mezani!!
 
Suala lako hili ni gumu kidogo.
1.Je, nyaraka za mauziano ya ardhi (mikataba) unayo?
2.Je, huyo aliyekuuzia bado yupo hai na anapatikana?
3.Baada ya kununua ulifanya maendelezo gani kwenye hiyo ardhi?Je,ulipanda mazao ya kudumu au kujenga nyumba ya kudumu??
4. Hao ndugu zake wanaishi umbali gani kutoka kwenye hilo shamba/ kiwanja kilipo??Je, kwa muda wote huo wa miaka 14 ina maana hawajawahi kuzuru hata mara moja kwenye hilo shamba/kiwanja??
5.Hao ndugu zake waliokuja Wana nyaraka gani za umiliki wa ardhi hiyo??
6.Kabla ya kununua, Je, wewe ulifanya uchunguzi wa kina (due diligence) ili kujua historia kamili ya umiliki wa ardhi hiyo?

Endapo kama una mkata halali wa mauziano ya ardhi, mtu aliyekuuzia hayupo au hapatikani kwa sasa, na ikiwa umepanda mazao ya kudumu au kujenga nyumba ya kudumu, basi wewe endelea kuitumia ardhi hiyo.Wala usithubutu kwenda kuanzisha Kesi Mahakamani, subiri kesi waende wakaianzishe hao ndugu zake wanaodai kuwa na maslahi kwenye ardhi hiyo. Kama haujapanda mazao ya kudumu au kujenga nyumba ya kudumu tafadhali fanya hivyo haraka sana, Jenga nyumba ndogo hata ya chumba kimoja ili kujenga ushahidi wa wazi unaoonekana kwa macho wa kumiliki ardhi hiyo.
TANBIHI:
SILAHA YA MUHIMU YA KUJITETEA NA KUJIHAMI NAYO KATIKA SUALA LAKO HILI KWA SASA.
Hao ndugu zake endapo kama wataenda kufungua Kesi Mahakamani, unatakiwa kujitetea kwa kuwawekea PINGAMIZI LA AWALI (Preliminary Objection) kwa Hoja ya Ukomo wa Muda wa Kufungua Mashitaka ya Madai Ardhi kwa Suala kama lako hili chini ya Sheria ya Ukomo pamoja na Kanuni zake (The Law of Limitations Act). Tafadhali muone Wakili ili akusaidie na kukuongoza vizuri zaidi ktk suala hili.
Angalizo: Ukienda kuanzisha Kesi Mahakamani kwa suala lako hili lenye scenario kama hii, utakuwa umejipalia makaa na kujichimbia kaburi lako wewe mwenyewe kwa sababu inaonekana kama ulifanya uzembe fulani kwemye suala hili.
Kitu cha muhimu ni kutunza mkataba wako wa mauziano ya ardhi, uwe nao muda wote kuanzia sasa.

1. Nyaraka za mauziano zipo ingawaje hazipo vizuri kisheria, mfano mke wa muuzaji hakuweka sahihi anadai ardhi iliuzwa kinyemela na mme wake.
2.Yupo hai ila hatoi ushirikiano
3. Naitumia kilimo cha mahindi
4. Karibu na shamba wanadai wao walikuwa hawajui kama ndugu yao kaniuzia, walijua nakodisha na mke wa muuzaji anaungana nao.
5. Hawana nyaraka yeyote
6. Ni ardhi iliyokuwa inamilikiwa na familia ya muuzaji, yaani ya kurithi toka kwa vizazi.
 
Achaa kumzungusha njia ndefu sana ya kutatua mgogoro, kwa kifupi waende Mahakamani, yeye aithibitishie Mahakama kua yule aliyemuuzia ile Aridhi ni kweli kua yeye ndiyo mmiliki halali wa ile Aridhi, na upande wa pili wanajukumu la kuthibitisha kua kweli ile Aridhi ni ya Marehemu Babu yao! Baada ya hapo Mahakama itaamua kwa Haki Baada ya kuwasikiliza pande zote mbili pamoja na ushahid wao mezani!!
Muuzaji anakwepa hataki kuja kwenye shauri.
 
Ingawa umeeleza sio kwa undani sana,
kuna maswali ya kujiulizakabla ya kwenda kokote
1. Je una hati miliki?
2. Je wakati unauziwa ulijiridhisha yeye ndio mmliki?
3. Je kuna viashiria kuwa huyo ndugu alikutapeli na hakuwa mwenye eneo?
Kumbuka ukiuziwa eneo kwa kutapeliwa haimanishi wew ndio una haki?
kikubwa hapo uangalie mazingira yalivyokuwa tangu unanunua hadi sasa ikiwezekana washirikishe wataalamu.
uwezekano wa kupata haki yako upo na uwezekano wa kukosa haki yako upo ila unaweza ambulia hata hela.

1. Sina hati miliki
 
Achaa kumzungusha njia ndefu sana ya kutatua mgogoro, kwa kifupi waende Mahakamani, yeye aithibitishie Mahakama kua yule aliyemuuzia ile Aridhi ni kweli kua yeye ndiyo mmiliki halali wa ile Aridhi, na upande wa pili wanajukumu la kuthibitisha kua kweli ile Aridhi ni ya Marehemu Babu yao! Baada ya hapo Mahakama itaamua kwa Haki Baada ya kuwasikiliza pande zote mbili pamoja na ushahid wao mezani!!
He who claims must prove!
Unampotosha Mleta hoja, ushauri wako hautamsaiidia zaidi ya kumzamisha.
Kwa kifupi ni kwamba huy ametapeliwa kwa sababu mauziano ya ardhi hayakufuata taratibu za kisheria.
 
Back
Top Bottom