John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Ni ngumu pia kuthibitisha madai hayo mahakamani.Basi hapo faster ambadilishie kesi muuzaji ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, kwenye madai atapigwa mapema sana!!
Amefanya uzembe mkubwa ktk kushughulikia suala hili wakati wa mchakato wa ununuzi wa ardhi hiyo. Hakufanya utafiti wa kina (due diligence) kabla ya kuamua kununua ardhi husika.