Je, kwa kilichotokea Ziwani bado tumebaki wale wale 61,741,120 au tumeshapungua?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Watani zangu sijui mmelikosea nini hilo Ziwa hakyanani. Mwaka 1996 mmekwazana nalo kwa Meli, leo tena kwa Bun'go na inaonyesha huko Mbeleni hata Mkoa wenu wote nao utazama mazima tu humo Majini.
 
Watani zangu sijui mmelikosea nini hilo Ziwa hakyanani. Mwaka 1996 mmekwazana nalo kwa Meli, leo tena kwa Bun'go na inaonyesha huko Mbeleni hata Mkoa wenu wote nao utazama mazima tu humo Majini.
Kumbe ajali ya Precision Air siyo halisi bali ni zoezi la uokoaji!.
 
Kumbe ajali ya Precision Air siyo halisi bali ni zoezi la uokoaji!.
Kwahiyo hata Rais Samia hakujulishwa juu ya hilo Zoezi kiasi kwamba nae mapema tu ameshatuma Salamu za Pole?

Acheni tu Wazungu watudharau Waafrika.
 
Ungesubiri papoepoe kidogo,si vizuri kusema ivo...ni watu wamepotea hao mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…