Je, kwa mara ya kwanza ulipopata like/comment kutoka kwa Maxence Melo ulijisikiaje?

Mleta mada bila shaka hii ni like yako ya kwanza kuipata toka kwa maxence,kwangu mimi nimeshazowea kugonga like toka kwake,max ni mtu poa tu wala hana majivuno,anaishi na sisi humu kama vile nae ni member wa kawaida tu,big up mkuu Maxence Melo
 
Mbona melo huwa anatoa like na reply sana tu "... hanaga shida kabisa .muhimu uwe una spin fact .. mwingine ni pascall mayala. Yeye huwa anatoa likes kwakila mtu aliye changia katika uzi wake pasipo kujali kama umemjibu hovyo Au umem- support ... nadhani ni miongoni ya watu wachache walioamua kuwa wana heshimu mawazo ya watu pasipo kujali kuwa mawazo hayo ni pinzani kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…