clinical officer sana wanaangalia matokeo ya o level.mimi wala sikutumia cheti cha advance.je,matokeo yako ya kidato cha nne yalikuwaje?
Co 2 princple pass?
usikate tamaa jaribu kuomba hiyo ya clinical bcoz hata cha o level kinamata,kwenye ualimu kuna tatizo moja wanatka principle moja na subsidiary lakini kwenye masomo ya kufundishia kama cjakosea