Umeanza kuujua mpira lini?Ur mistaken...Simba ndo aliyekandwa 5..0
Kwani itakuwa mara ya kwanza?Eti ndugu zangu makolo ...Kwa mfano Kesho Tena makolo mkafungwa 5 na yanga....mtafanyaje[emoji23][emoji23]View attachment 2968000
Mpira ni uwanjani siyo mdomoniEti ndugu zangu makolo ...Kwa mfano Kesho Tena makolo mkafungwa 5 na yanga....mtafanyaje[emoji23][emoji23]View attachment 2968000
Nipo kwa mkopo mpaka hii derby itakapopita hiyo kesho. Maana mashabiki wao wameikimbia timu yao.Siku hizi umehamia Kwa Makolo?
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣....Eti ndugu zangu makolo ...Kwa mfano Kesho Tena makolo mkafungwa 5 na yanga....mtafanyaje[emoji23][emoji23]View attachment 2968000
Mbona vitu vingi huvijui sasa mkuu?Nahisi kabla hujazaliwa
Kwa mvua hii simba anashinda tatu bilaEti ndugu zangu makolo ...Kwa mfano Kesho Tena makolo mkafungwa 5 na yanga....mtafanyaje[emoji23][emoji23]View attachment 2968000
Hamna masta huo ndiyo uhalisia wenyewe huwezi kuumkimbia.Mbona kama unasikitika mkuu [emoji23]
Na kwa mfano hizo Tano akafungwa Yanga mtafanyaje?Eti ndugu zangu makolo ...Kwa mfano Kesho Tena makolo mkafungwa 5 na yanga....mtafanyaje[emoji23][emoji23]View attachment 2968000