Je kwa mtaji wa 2M naweza fungua biashara hizi mbili?

Je kwa mtaji wa 2M naweza fungua biashara hizi mbili?

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,824
Reaction score
4,447
Salaam Wanajukwaa

Kama ilivyo desturi yetu Wanajf kujuzana, kuelimishana nk..

Leo ningeomba kufahamishwa kwa wenye uzoefu je kwa mtaji wa Milioni 2 naweza fungua biashara hizi mbili
1.Saloon ya kiume
2.Biashara ya chipsi

Kwa wew uliewahi fanya biashara ya chips unaweza toa uzoefu wako mtaji unaweza cost bei gani hadi deal kukamilika
Ishu kama ya jiko, kabati na mazagazaga yote

Vilevile na kwe wew walau unajua A B C biashara ya Saloon toa experience yako

Natanguliza shukrani
 
Inatosha

Binafsi ningekushauri tafuta chimbo zuri ufungue vibanda viwili vya Chipsi.

Kimoja simamie mwenyewe, kingine mpe Kijana akusaidie

Ukishindwa kutengeneza Faida almost 30,000 njoo nikurudishie Mtaji wako 💪
 
Fun
Salaam Wanajukwaa

Kama ilivyo desturi yetu Wanajf kujuzana, kuelimishana nk..

Leo ningeomba kufahamishwa kwa wenye uzoefu je kwa mtaji wa Milioni 2 naweza fungua biashara hizi mbili
1.Saloon ya kiume
2.Biashara ya chipsi

Kwa wew uliewahi fanya biashara ya chips unaweza toa uzoefu wako mtaji unaweza cost bei gani hadi deal kukamilika
Ishu kama ya jiko, kabati na mazagazaga yote

Vilevile na kwe wew walau unajua A B C biashara ya Saloon toa experience yako

Natanguliza shukrani
Fungua biashara zote mbili kwa mtaji huo huo

Ila kuna jamaa anaitwa@dr namugari analiiuza wazo zuri la biashRa mtafute
 
Back
Top Bottom