Je kwa mtaji wa 2M naweza fungua biashara hizi mbili?

Hana duka Tunduru huyo
Hata kama yeye ndio angekuwa anamiliki Tanzania au ndio Gwiji la Biashara (yaani aligundua ufanyaji wa Biashara) hawezi akaongea mambo ambayo tunaona ndivyo sivyo tumkubalie tu sababu ni Gwiji....; Ndio maana hapa watu hatujibu sababu nani kasema nini, tunajibu ni nini kimesemwa.....

Na katika kujibishana huko ndio tunarekebisha palipokosewa au kujifunza pale tulipokuwa hatujui au kuelezea kwanini fikra hizo na hizi sio sawa..., Hatupo hapa kulinganishwa net-worth ya mtu....; hata hapa akija Bill Gates akaongea Pumba kuhusu windows lazima tutamwambia mkuu hapa umeteleza...
 

Ndio mpaka naeka Hela manake nimejirisk mm mwnyw kustake Kwa odds ambayo nmeona Ina uwezekano mkubwa wa kula mfano nkaeka milion kwenye odds 1.10+ means bada ya Mankato ntapata kitu kama 100k kuliko nieke odds 10 kwny milion nipate 10M kwny uwezekano mdogo wa kula ko apa narisk Hela nipate Hela ya bure ndo hvo lazima urisk ili upate bet for your own risk and bet for what you can afford to lose
 
Afu pia ata ww ndo ungekua house mfano man city ña Luton we unaeza ukampa city odds 2?🤔 Manake apo house utapigika ko lazima uweke odds 1 ili mtu akila asikukule sana apo mpka akukule ww house inabid aweke Hela kubwa Kwa vile odds n ndogo afu pia anaboeka Eka Hela kubwa kwny odds ndogo apo inakua advantage kwako ww house mana man city akifungwa house itakua umefaidika ko Kila mtu anabeti anavoona yeye mtu anaweka milion man city win odds 1.37 apa akila anapata laki tatu faida lakina akiliwa house anapata milion ko ndo maana ya kamari mkuu watu wanajirisk apate chochote kitu mzee
 
Ndio nakwambia kama odds ni 1.10 watoa odds wameshaangalia probability ya tukio hilo na kuona kwamba uwezekano wake huenda ni 1.15 na sio 1.10 kwa wewe kupewa 1.10 umepewa raw deal...

Ukiweka 1m kwenye 1.10 utapata 100k lakini je unaweza ukapatia odds za 1.10 mara kumi ? sababu ukipoteza mara ya tisa utawarudishia laki tisa ulizoshinda na kuwaongezea laki moja....
 
Unapambana kumuelekeza Teja wa Kamari,, hawezi kukuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…