Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Nitoe pole kwa wote mlioathirika na mafuriko yanayotokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini
Naomba kujua Kwa lengo la kupata Elim.u.
Je kwa mujibu wa Quaran tukufu Wana Israel wakitokea utumwani Misri walifanikiwa kufika nchi ya ahadi yaani Kanani?
Na kama walifanikiwa kufika huko je ni nchi hiyo kwa Jiografia ya Iko wapi hasa?
Na kama hawakufika nchi ya ahadi je waliishi wapi siku hizo?
Aksanteni sana na mbarikiwe
Lugha zisizo na staha hazikubaliki
Nitoe pole kwa wote mlioathirika na mafuriko yanayotokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini
Naomba kujua Kwa lengo la kupata Elim.u.
Je kwa mujibu wa Quaran tukufu Wana Israel wakitokea utumwani Misri walifanikiwa kufika nchi ya ahadi yaani Kanani?
Na kama walifanikiwa kufika huko je ni nchi hiyo kwa Jiografia ya Iko wapi hasa?
Na kama hawakufika nchi ya ahadi je waliishi wapi siku hizo?
Aksanteni sana na mbarikiwe
Lugha zisizo na staha hazikubaliki