Je, kwa sababu hizi Wizara ya Mawasiliano ilikuwa sahihi kumtimua Elon Musk na intaneti yake?

Je, kwa sababu hizi Wizara ya Mawasiliano ilikuwa sahihi kumtimua Elon Musk na intaneti yake?

Hili suala nilishatolea ufafanuzi ila watu wamekuwa wabishi sana. Labda wakiambiwa Starlink inaeneza ushoga ndo wataelewa.
Kilaza mkubwa wewe ,unajua hata Starlink ni nini ?
Ungejua hata msimamo wa huyo Elon Musk kwenye issues za LGBTQ na kupinga hegemony ya US government ikoje usingeandika huu uharo wako ulioandika hapa
Nashangaa eti mpumbavu mmoja mwenye elimu ya MEMKWA anaandika "Elon anataka raslimali na madini "
Hivi ninyi wapumbavu mna akili au usaha kwenye hayo mafuvu yenu ?
Bloody fool
 
Foolish bureaucracy ni Cancer ya nchi za kiafrika , nchi zinazoongozwa na wapumbavu ,wabinafsi na wasio na maono .
Majitu yanafanya maamuzi kujineemesha tu (self interests ) bila kuangalia maslahi ya wananchi .
Mediocracy inaongoza hizi nchi


Eti jitu kama Nape Ndio anapewa dhamana ya kuoversee decisions kama hizi
Pricks
 
Kilaza mkubwa wewe ,unajua hata Starlink ni nini ?
Ungejua hata msimamo wa huyo Elon Musk kwenye issues za LGBTQ na kupinga hegemony ya US government ikoje usingeandika huu uharo wako ulioandika hapa
Nashangaa eti mpumbavu mmoja mwenye elimu ya MEMKWA anaandika "Elon anataka raslimali na madini "
Hivi ninyi wapumbavu mna akili au usaha kwenye hayo mafuvu yenu ?
Bloody fool
Acha kulilia watu hapa JF. Hakuna babako hapa.
 
Matajiri wakubwa wa Marekani, China na USSR,...hutumika kama mikono ya nchi zao,.......
 
Amani ya Bwana iwe nanyi.

Tilionea Elon Musk alikusudia kutuletea intaneti ya bei rahisi ya setilaiti. Nimemfuatilia huyu Bwana licha ya wema wake ni kama mafia sana na anaingilia hadi mambo ya nchi husika kwa maslahi yake.

1: Rais wa Venezuela aliyeshinda amemtuhumu jamaa kutumia zaidi ya Trilioni 2.5 (tsh) kuhakikisha anashindwa na kusapoti mapinduzi huko. Nchi hii ni bingwa wa kuzalisha mafuta duniani.

Huko Bolivia alinukuliwa kudai hata ikibidi kusapoti mapinduzi atafanya. Nchi hiyo inamadini maqlumu ambayo Musk anayategemea kwa ajili ya kutengeneza vifaa vyake vya kwenda angani.

Huko Brazili anabifu na jaji mkuu. Licha ya kufungiwa mtandao wake wa X kwa kumtaka afungue ofisi hapo, baada ya muda mfupi alibuni mbinu watu wakaendelea kuupata kinyume na sheria. Ila kwa sasa naona kama wamemalizana ingawa anaonekana kujiingiza kwenye mambo ya kisiasa huko.

Tajiri huyu namba moja duniani mmqrekani mzawa wa South Afrika inaonekana qnatumiwa na Mabeberu kujiingiza kila kwenye maslahi ya mabeberu hao. UKraine na Russia Yumo, Palestinna na Israel Yumo. Yaani hakuna mahali hajiingizi.

Najiuliza kwa uchu wa rasilimali na madini aliyonayo huyu Bwana na mabosi wake duniani wizara ilikuwa sahihi kufungia huduma yake ya internet ya bei nafuu?

Je kuna haja ya kumlazimisha na sisi afungue ofisi ya Twitter Dodoma au DSM kama walivyofanya Brazil ili kwa makosa yanayosababishwa na mitandao wake tunakwenda ofisini kwake kuwashtaki kisheria hapahapa?

Ni hayo tu
Asubuhi njema.
Mkuu sasa ofisi za X zifunguliwe zina faida gani katika taifa, au wewe ni mmoja ya wanahisa katika mitandao ya simu. Hutaki wananchi wapate unafuu wa huduma za intaneti
 
Mkuu sasa ofisi za X zifunguliwe zina faida gani katika taifa, au wewe ni mmoja ya wanahisa katika mitandao ya simu. Hutaki wananchi wapate unafuu wa huduma za intaneti
Hicho nataka. Ila sijajua sababu ya kuzuiwa. Isije ikawa kulindq mqkampuni ambayo hayako tqyari kushushq vifurushi huku wanajipatia faida kubwa.
 
Back
Top Bottom