Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Naona Tanzania Hali Tete !!
Watanzania Milioni 50 Itabidi Tutulie Kimya Kama Tupo Kwenye Freezer Ili Magufuli Mwenyewe Ajenge Nchi !!
Vijana Wamekuwa Wabunifu, Wana Idea Nyingi Na Nzuri Lakini Funding Imekuwa Shiida !
Wengine Kila Leo Mawazo Yako Yanaibiwa Na Hawana Cha Kufanya.
Je, Kwa Tanzania Hakuna Watu Wenye Fedha Wanaowekeza Kwenye Mawazo Ya Watu In Exchange For Some Hisa Ownership ?
Kwa Nchi Nyingi Hili Ni Jambo La Kawaida Tu, Hapa Kwetu Hali Ikoje ?
Watanzania Milioni 50 Itabidi Tutulie Kimya Kama Tupo Kwenye Freezer Ili Magufuli Mwenyewe Ajenge Nchi !!
Vijana Wamekuwa Wabunifu, Wana Idea Nyingi Na Nzuri Lakini Funding Imekuwa Shiida !
Wengine Kila Leo Mawazo Yako Yanaibiwa Na Hawana Cha Kufanya.
Je, Kwa Tanzania Hakuna Watu Wenye Fedha Wanaowekeza Kwenye Mawazo Ya Watu In Exchange For Some Hisa Ownership ?
Kwa Nchi Nyingi Hili Ni Jambo La Kawaida Tu, Hapa Kwetu Hali Ikoje ?