Je, kwa ufaulu huu naweza soma kozi ya ufamasia MUHAS?

Je, kwa ufaulu huu naweza soma kozi ya ufamasia MUHAS?

Ethan hunt

Member
Joined
Feb 6, 2021
Posts
20
Reaction score
8
Salaam jukwaa,

Nimefaulu division3 kwa KemiaD, Biologia C, English C, B/mathD, Fizikia F na mingine yaliyo bakia nimepass naweza kupata nafasi Muhimbili(MUHAS) kuanzia ngazi ya cheti na kuunganisha diploma kwa kozi ya famasia na ada ni shingapi bila kulala.

Nawasilisha.
 
[QUOTE="Jiwe kuu001, C nne na D nne kwa ufaulu huo nina division three ya 24 basi nisaidie vigezo vyake nitashukuru
 
Salaam jukwaa,

Nimefaulu division3 kwa KemiaD, Biologia C, English C, B/mathD, Fizikia F na mingine yaliyo bakia nimepass naweza kupata nafasi Muhimbili(MUHAS) kuanzia ngazi ya cheti na kuunganisha diploma kwa kozi ya famasia na ada ni shingapi bila kulala.

Nawasilisha.
Hiyo F imechana mkeka
 
Hata usingekuwa na F ila chemistry pia ingekuwa tatizo
 
Salaam jukwaa,

Nimefaulu division3 kwa KemiaD, Biologia C, English C, B/mathD, Fizikia F na mingine yaliyo bakia nimepass naweza kupata nafasi Muhimbili(MUHAS) kuanzia ngazi ya cheti na kuunganisha diploma kwa kozi ya famasia na ada ni shingapi bila kulala.

Nawasilisha.
Physics - F

Inshort haiwezekani.
 
Salaam jukwaa,

Nimefaulu division3 kwa KemiaD, Biologia C, English C, B/mathD, Fizikia F na mingine yaliyo bakia nimepass naweza kupata nafasi Muhimbili(MUHAS) kuanzia ngazi ya cheti na kuunganisha diploma kwa kozi ya famasia na ada ni shingapi bila kulala.

Nawasilisha.
Siku hizi hata kama utapata A ya chem B ya Biology ukisha pata F ya Physics mchezo umeisha mzee wangu
 
Salaam jukwaa,

Nimefaulu division3 kwa KemiaD, Biologia C, English C, B/mathD, Fizikia F na mingine yaliyo bakia nimepass naweza kupata nafasi Muhimbili(MUHAS) kuanzia ngazi ya cheti na kuunganisha diploma kwa kozi ya famasia na ada ni shingapi bila kulala.

Nawasilisha.

Vipo vyuo vingi private. Jaribu huko. Mwisho wa siku kinachogomba ni ujuzi si wapi ulisoma.
 
Salaam jukwaa,

Nimefaulu division3 kwa KemiaD, Biologia C, English C, B/mathD, Fizikia F na mingine yaliyo bakia nimepass naweza kupata nafasi Muhimbili(MUHAS) kuanzia ngazi ya cheti na kuunganisha diploma kwa kozi ya famasia na ada ni shingapi bila kulala.

Nawasilisha.
Tupe mrejesho ndugu
 
MUHAS hawatoi certifice ya Pharmacy.
Tena kwa Diploma wanachukua Form 6 kama Udom
 
Back
Top Bottom