Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,641
Ni ukweli usiopingika yapo mambo Watanzania hawayajui, ni kweli baadhi ya wabunge hasa hao wenye fujo, baadhi yao wanatumia dawa za kulevya, bangi na pombe kali.
Anakuja pale si yeye, we unadhani ni yeye, kumbe si yeye, kwa hiyo ni tabu. Watu wa namna hiyo ukiwapa kamera ni tabu,- Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai.
Chanzo: Habari Leo
Hata hivyo kuna Mtu aliwahi Kuniambia kuwa ukimyooshea Mwenzako Kidole na Kumtusi hebu angalia vyote vilivyobakia vinamuangalia nani?
Anakuja pale si yeye, we unadhani ni yeye, kumbe si yeye, kwa hiyo ni tabu. Watu wa namna hiyo ukiwapa kamera ni tabu,- Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai.
Chanzo: Habari Leo
Hata hivyo kuna Mtu aliwahi Kuniambia kuwa ukimyooshea Mwenzako Kidole na Kumtusi hebu angalia vyote vilivyobakia vinamuangalia nani?