Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Wakuu Jana nimelia sana hii Yanga inatisha yaani inamchapa mtu 6 bila goal la penalty
Mimi kama mchambuzi m,bobevu wa soka hapa TZ ufuatao ni ushauri wangu Kwa Simba kuelekea derby
1. Wachezaji wa Simba waongeze kufanya mazoezi ya spidi Ili kuwazuia kina pacome..... Aziz ki......mzize ......coz hawa watu ni upepo
2. Wachezaji wa Simba wafungiwe mahali waangalie mechi za Yanga Kwa wiki nzima ....Ili waelewe mfumo wa GUSA ACHIA TWENDE KWAO. Ingawa watafungwa ila itapunguza idadi ya magoli
3. Wachezaji wa Simba wafanye maombi sana Ili mzize ..... Aziz ki ...... pacome wasicheze ....bila hivyo 5 G itasoma Kwa makolo
Zingatia: huu ni ushauri jinsi Simba wataweza kupunguza idadi ya magoli ......since makolo kukandwa kupo pale pale
Je, unawashauri Nini Simba juu ya Yanga hii... kuelekea derby
Mimi kama mchambuzi m,bobevu wa soka hapa TZ ufuatao ni ushauri wangu Kwa Simba kuelekea derby
1. Wachezaji wa Simba waongeze kufanya mazoezi ya spidi Ili kuwazuia kina pacome..... Aziz ki......mzize ......coz hawa watu ni upepo
2. Wachezaji wa Simba wafungiwe mahali waangalie mechi za Yanga Kwa wiki nzima ....Ili waelewe mfumo wa GUSA ACHIA TWENDE KWAO. Ingawa watafungwa ila itapunguza idadi ya magoli
3. Wachezaji wa Simba wafanye maombi sana Ili mzize ..... Aziz ki ...... pacome wasicheze ....bila hivyo 5 G itasoma Kwa makolo
Zingatia: huu ni ushauri jinsi Simba wataweza kupunguza idadi ya magoli ......since makolo kukandwa kupo pale pale
Je, unawashauri Nini Simba juu ya Yanga hii... kuelekea derby