Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Toka ile mechi umeshawahi kumuona tena?😁Mbna alichezesha fair sana.....Yanga ndo walinyimwa penalty
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka ile mechi umeshawahi kumuona tena?😁Mbna alichezesha fair sana.....Yanga ndo walinyimwa penalty
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ngoja tuone Yanga mkitaka muifunge Simba nawapa siri mpunguze midomo km kile kipindi Simba alipigwa 5 sababu Yanga waliingia kwa tahadhari hawakua na midomo mingi mimi gemu niliishuhudia na ikawa hivyo na kesho yake mji ulitulia sana ila sasa hii ya mdomo mdomo mtakula goli nyingi mpaka mpagaweAwamu hii Yanga atafungwa 4-0 na Simba
Refa hakuna.. it's a human errorMsimu huu kazi ipo!
Hiyo ni kazi yako, ambatanisha na hilo bango ili kunogesha uchambuzi chapati
Hapana na sielew KwannToka ile mechi umeshawahi kumuona tena?[emoji16]
Hapana mkuu....sisi wachambuzi tuna deal sana na yajayoHiyo ni kazi yako, ambatanisha na hilo bango ili kunogesha uchambuzi chapati
Umekosea njia huku ni kisiwa cha mazombie......Punguzeni mdomo nendeni kimya kimya mkileta mdomo mtapoteza gemu yawe mambo magumu Club Bingwa mbwembwe kibao mmekaziwa sababu ya mdomomdomo
Hilo nalijua mkuuHapana mkuu....mchachambuzi nina deal sana na ujinga.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Yaaah kazi yetu ni kuondoa ujingaHilo nalijua mkuu
Hapana mkuu....Yanga profession yao ni ya Hali ya juuHaya sisi tunajenga timu, ila mdomo umewaangusha sana msimu huu bado mna uamini useme hovyo bila akiba ya kuanzia tar 9 march
Na ndio maana upo hapa kuongea ujinga 🐸🐸Nikiwa kama mjinga kazi yangu si kuondoa ujinga
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app