Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Wasalaam JF
Niende kwenye mada moja Kwa moja, hivi makatazo ya mikutano na uhuru wa kisiasa ilijikita katika muktadha upi na hi dhana ama kasumba ya viongozi na serikali ya CCM kuogopa kukosolewa, ni nini kama sio umwinyi na ujima wa kizandiki, na kama wanajiita chama Cha mapinduzi hayo mapinduzi yao ni yapi kimaudhui na mantiki hio mapinduzi uwakilisho wake ni upi.
Je, CCM Ina uhaba wa watu wenye fikra pevu, hawana watu wenye weledi na maarifa kujibu hoja na kutetea sera na mipango mbalimbali.
Ustawi wa taifa hili wanufaika ni nani? Ni wale wenye usajili na ufuasi wa CCM na familia zao au ni dhana mfu ya taifa zima?
Barbarian syndrome kills off growth, progress and success of any nation and it's people.
Wadiz with politics mood
Niende kwenye mada moja Kwa moja, hivi makatazo ya mikutano na uhuru wa kisiasa ilijikita katika muktadha upi na hi dhana ama kasumba ya viongozi na serikali ya CCM kuogopa kukosolewa, ni nini kama sio umwinyi na ujima wa kizandiki, na kama wanajiita chama Cha mapinduzi hayo mapinduzi yao ni yapi kimaudhui na mantiki hio mapinduzi uwakilisho wake ni upi.
Je, CCM Ina uhaba wa watu wenye fikra pevu, hawana watu wenye weledi na maarifa kujibu hoja na kutetea sera na mipango mbalimbali.
Ustawi wa taifa hili wanufaika ni nani? Ni wale wenye usajili na ufuasi wa CCM na familia zao au ni dhana mfu ya taifa zima?
Barbarian syndrome kills off growth, progress and success of any nation and it's people.
Wadiz with politics mood