Je Kwanini CEO wa Simba ajiuzulu Baada ya ujio wa V.A.R?

Je Kwanini CEO wa Simba ajiuzulu Baada ya ujio wa V.A.R?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Wakuu Je Kuna connection yeyote ya CEO la caf confederation team de Simba ( looser cup team) Imani kajula [emoji23] ya kujiuzuru na ujio wa VAR???

Coz hizi taarifa zote zimekuja Kwa kishindo na Kwa pamoja na kama Zina connection fulan ...coz uwezo wa Mr kajula ulikuwa tia maji tia maji .....haiwezekani CEO anajisifia kuanzisha channel ni mafanikio ya club [emoji32][emoji32]
Maon yangu
Naona kaona ....Kwa ujio wa VAR hii hapa sitoboi Bora nichimbe mapema

NB Je Kuna connection yeyote ya CEO kujiuzuru na ujio wa VAR??
Screenshot_20240715-143824.jpg
 
Anastahili kujiuzulu hata kabla ya mkataba wake kuisha,hakuleta mafanikio yoyote tangu aingie,haihusiani na VAR, inajulikana timu inayotembesha bahasha ligi kuu na magoli ya chupri chupri kuwa ni Yanga,kazi mnayo.
 
Unadharirisha JF! Huu upuuzi, haushangazwi ukiandikwa na huyo Oscar, au kule FB.
Na nina uhakika kwa % 100 kuwa, hata wewe unajua kuwa kuondoka kwake, hakuna uhusiano hata kidogo na hizo VAR. Lakini kwa vile wewe kila kukicha, unaokoteza lolote la KUIKEJERI Simba, basi takataka zote unazileta hapa JF. UNAIDHARIRISHA JF!
 
Wakuu Je Kuna connection yeyote ya CEO la caf confederation team de Simba ( looser cup team) Imani kajula [emoji23] ya kujiuzuru na ujio wa VAR???

Coz hizi taarifa zote zimekuja Kwa kishindo na Kwa pamoja na kama Zina connection fulan ...coz uwezo wa Mr kajula ulikuwa tia maji tia maji .....haiwezekani CEO anajisifia kuanzisha channel ni mafanikio ya club [emoji32][emoji32]
Maon yangu
Naona kaona ....Kwa ujio wa VAR hii hapa sitoboi Bora nichimbe mapema

NB Je Kuna connection yeyote ya CEO kujiuzuru na ujio wa VAR??View attachment 3043700
Kwa hizi akili mtanyang'anyana sana mabwana ninyi na dada zenu
 
Je Kwanini CEO wa Simba ajiuzulu Baada ya ujio wa V.A.R
JF ya 2010 imepotea kabisa. Wakati ule watu wanashusha nondo kweli kweli. Nakumbuka Gavana wa Benki Kuu ndg. Daudi Balali alivyopotea mafichoni, JF ilikuwa na members wakifanya tracking yake na kutoa updates ya locations humu humu kila mahali anaposomeka. Ujinga wa Simba na Yanga ulivyowaingia watoto, kile kizazi kikaondoka humu, na tumebaki wachache sana
 
JF ya 2010 imepotea kabisa. Wakati ule watu wanashusha nondo kweli kweli. Nakumbuka Gavana wa Benki Kuu ndg. Daudi Balali alivyopotea mafichoni, JF ilikuwa na members wakifanya tracking yake na kutoa updates ya locations humu humu kila mahali anaposomeka. Ujinga wa Simba na Yanga ulivyowaingia watoto, kile kizazi kikaondoka humu, na tumebaki wachache sana
Saizi kwenye vijana 10, 9 ni wapumbavu. Thinking capacity ni ndogo kupitiliza.
 
Wakuu Je Kuna connection yeyote ya CEO la caf confederation team de Simba ( looser cup team) Imani kajula [emoji23] ya kujiuzuru na ujio wa VAR???

Coz hizi taarifa zote zimekuja Kwa kishindo na Kwa pamoja na kama Zina connection fulan ...coz uwezo wa Mr kajula ulikuwa tia maji tia maji .....haiwezekani CEO anajisifia kuanzisha channel ni mafanikio ya club [emoji32][emoji32]
Maon yangu
Naona kaona ....Kwa ujio wa VAR hii hapa sitoboi Bora nichimbe mapema

NB Je Kuna connection yeyote ya CEO kujiuzuru na ujio wa VAR??View attachment 3043700
Highest level ya upuuzi ni hii

Umeandika nini sasa
 
JF ya 2010 imepotea kabisa. Wakati ule watu wanashusha nondo kweli kweli. Nakumbuka Gavana wa Benki Kuu ndg. Daudi Balali alivyopotea mafichoni, JF ilikuwa na members wakifanya tracking yake na kutoa updates ya locations humu humu kila mahali anaposomeka. Ujinga wa Simba na Yanga ulivyowaingia watoto, kile kizazi kikaondoka humu, na tumebaki wachache sana
Sasa wewe unatafuta nini humu kama Jf ya siku hiz ni mbaya!! Si ungekufa nayo tu mkuu, why black people are so much interested to dwell in past??? U guys are sooo obsessed with previous rather now??? Inakusaidia nini kukumbatia kitu that u cant change or controll??

Wewe na wachache wenzio mliobaki mbona hamshushi hizo nondo sasa??

Position ursefl as an agent rather that a victim of change
 
Saizi kwenye vijana 10, 9 ni wapumbavu. Thinking capacity ni ndogo kupitiliza.
Personally i hate judging people if i cant do anything to help them..
Hiv ni kitu gan kinampa mtu moral authority ya kujiona yeye nk bora kuliko wengine?
Hapo katika hao 10, bila shaka huyo mmoja mwerevu umeji consider ndio wewe ,the rest wana fall kwenye hao 9 😂😂.
Stop being selfish..tuwasaidie vijana badala ya kuwa judge, show them the light. But how can you do that if urself are the darkenes?? No wonder you keep on judging them
 
Anastahili kujiuzulu hata kabla ya mkataba wake kuisha,hakuleta mafanikio yoyote tangu aingie,haihusiani na VAR, inajulikana timu inayotembesha bahasha ligi kuu na magoli ya chupri chupri kuwa ni Yanga,kazi mnayo.
Na lile likikosi la caf ....Yanga wawe wanahonga?
 
Unadharirisha JF! Huu upuuzi, haushangazwi ukiandikwa na huyo Oscar, au kule FB.
Na nina uhakika kwa % 100 kuwa, hata wewe unajua kuwa kuondoka kwake, hakuna uhusiano hata kidogo na hizo VAR. Lakini kwa vile wewe kila kukicha, unaokoteza lolote la KUIKEJERI Simba, basi takataka zote unazileta hapa JF. UNAIDHARIRISHA JF!
Daaah hapana mkuu
 
JF ya 2010 imepotea kabisa. Wakati ule watu wanashusha nondo kweli kweli. Nakumbuka Gavana wa Benki Kuu ndg. Daudi Balali alivyopotea mafichoni, JF ilikuwa na members wakifanya tracking yake na kutoa updates ya locations humu humu kila mahali anaposomeka. Ujinga wa Simba na Yanga ulivyowaingia watoto, kile kizazi kikaondoka humu, na tumebaki wachache sana
Kwa maana hyo walikuwa wanaingilia kaz ya police
 
Back
Top Bottom