Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Habari wakati huu..
Wakuu, je kwanini tunataka Katiba Mpya?
Sikatai katiba tuliyonayo ina madhaifu lukuki, hata katiba tulionayo inafatwa inavyotakikana?
Sote ni mashahidi, katiba tuliyonayo haitekelezwi kikamilifu. Je, ni nini kitafanya katiba mpya itekelezwe ikiwa hii kuukuu haitekelezwi?
Mfumo wetu ni mbovu na unaongozwa na wachache wenye nguvu...
Wakuu, je kwanini tunataka Katiba Mpya?
Sikatai katiba tuliyonayo ina madhaifu lukuki, hata katiba tulionayo inafatwa inavyotakikana?
Sote ni mashahidi, katiba tuliyonayo haitekelezwi kikamilifu. Je, ni nini kitafanya katiba mpya itekelezwe ikiwa hii kuukuu haitekelezwi?
Mfumo wetu ni mbovu na unaongozwa na wachache wenye nguvu...