Je, kweli Samuel Etoo aliwapigia Simba SC na kuwaambia wamsajili Willy Esomba Onana?

NENDA KAITAFUTE.
 
Ukimuelewa Haji MANARA ndipo utaprove kuwa WENYE nazo ni wawili tu.
 
πŸ™ŒπŸ½
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wanakwambia tena wakati anasisitiza dakika ziliisha akasongesha akapiga tena kuendelea kusisitiza aje
 
Unaumia saaaaana
 
Reactions: K11
Ukiwa na akili za kuvukia Barabara ndio utampigia makofi uyo Esomba kuwa ni mchezaji, mpira una vitu vingi sana kumuangalia mchezaji mzuri, angalia kwanza timu aliyocheza nayo ilikuwa inachezaje? Kafunga vigoli vya papatu papatu mmeanza kumuiba🀣🀣
 
Mbona nyie hamvifungi hivyo vigoli vya papatu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…