NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #41
NENDA KAITAFUTE.TUNAOMBA VIDEO AHMED AKISEMA KUWA ETO AMEPIGIA SIMU SIMBA KUMSAJILI ONANA.
Tunawapa taarifa sahihi kuwa pale Leaders Club Ahmed ALITANIA kuwa amepigiwa simu na Eto kupongeza KUMPATA Chemalone.
1. Etto Ndio RAIS WA shirikisho huko Cameroon.
2. Che Malone Alikuwa Cotton sport Cameroon .
HAPO KUNA UHUSIANO.
Onana ALIKUWA RWANDA
SO HAPA ETO ANAMJUAJE ONANA.
YANGA MPUNGUZE KUJIDHALILISHA.
TUKISEMA WENYE AKILI NI WAWILI TU MTALIA?????????
Mwanalunyasi mwenzangu pita hapo insta kwa manaraUTOTO RAHA SANA
Mwanalunyasi mwenzangu pita hapo insta kwa manara
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
UNAPENDA KUBISHA VITU USIVYOVIJUAPoa poa msabato Mwenzangu.
SABATH NJEMA.
UNAPENDA KUBISHA VITU USIVYOVIJUA
WEWE MBUMBUMBU TU.yani Hadi wewe unajilinganisha na Mimi du....
Manara wawili
ππ½Nilimuona kijana mmoja(Ahmedy Ally) kwenye interview akisema kuwa "Samuel Etoo alitupigia simu na kutusihi kuwa tusimuache Esomba Onana"
Je Kuna ukweli wowote au Ahmedy Ally alitaka kuthibisha Yale maneno aliyoyasema Mwenyekiti msitaafu wa Simba sc Rage (Sitoyataja kwa maana yanajulikana).
Endapo Onana kiwango kitaendelea kuwa chini hapo watalaumiwa kamati ya usajili au Samuel Etoo??
Nawasilisha hoja.View attachment 2793756
Kweli Makolo ni majitu yasio na akili kabisa sasa mechi moja amebahatisha papatupapatu unakuja kutamba ?Umemuamini ETOO sasa?
ππππππ kesho saa moja tutajuaKweli Makolo ni majitu yasio na akili kabisa sasa mechi moja amebahatisha papatupapatu unakuja kutamba ?
Unaumia saaaaanaNilimuona kijana mmoja(Ahmedy Ally) kwenye interview akisema kuwa "Samuel Etoo alitupigia simu na kutusihi kuwa tusimuache Esomba Onana"
Je Kuna ukweli wowote au Ahmedy Ally alitaka kuthibisha Yale maneno aliyoyasema Mwenyekiti msitaafu wa Simba sc Rage (Sitoyataja kwa maana yanajulikana).
Endapo Onana kiwango kitaendelea kuwa chini hapo watalaumiwa kamati ya usajili au Samuel Etoo??
Nawasilisha hoja.View attachment 2793756
Mbona nyie hamvifungi hivyo vigoli vya papatu?Ukiwa na akili za kuvukia Barabara ndio utampigia makofi uyo Esomba kuwa ni mchezaji, mpira una vitu vingi sana kumuangalia mchezaji mzuri, angalia kwanza timu aliyocheza nayo ilikuwa inachezaje? Kafunga vigoli vya papatu papatu mmeanza kumuibaπ€£π€£
Tuletee hao wydad ikiwezekana mjiunge nao kabisa muone kitachowakuta!Mbona nyie hamvifungi hivyo vigoli vya papatu?
Wewe kashabikie bao tu wala huu mchezo huujui bali ni mshabiki wa gongowazi wazi tu.Tuletee hao wydad ikiwezekana mjiunge nao kabisa muone kitachowakuta!