Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Kukojoa kunakupa starehe gan sasaNi starehe ndio. We hujawahi banwa mkojo na hujawahi kukojoa? Hii post lazima atakuwa kaandika mwanao. Sio kwa mawazo haya ya kitoto
Mkuu unamaanisha wewe aunyagi walA aukojoagi.safi kabisa[emoji122] [emoji122] [emoji122]Ngoja waje
HahaMkuu unamaanisha wewe aunyagi walA aukojoagi.safi kabisa[emoji122] [emoji122] [emoji122]
Mtu mwanamume akiwa anakata roho huwa ana pizi mkuu?Jambo lolote zito katika mwili wa binadamu, liliumbiwa pumbazo ili kukufanya jambo hilo binadamu upende kulifanya, ulifanye kwa starehe. Utumike kulifanya ki roho safi ili usihitaji fidia.
Kujisaidia haja ndogo ama kubwa, limewekwa pumbazo hilo, ili unayefanya tendo hilo uone raha na burudani.
Kujamiiana na kufa pia kuna pumbazo la starehe. Ambapo binadamu wakati akikata roho hujisikia raha kama anavyosikia raha aipatayo afikapo kileleni.
Ndiyo maana uthibitisho mojawapo wa mtu kukata roho kwa baadhi ya watu ni kutoa manii kwa wanaume.
Kwa uthibitisho wa jambo hili, muulizeni Mshana jr.
Ni mara nyingi imetokea hivyo wanaume kukutwa na manii itokayo wakati wa kukata roho.Mtu mwanamume akiwa anakata roho huwa ana pizi mkuu?
Jambo lolote zito katika mwili wa binadamu, liliumbiwa pumbazo ili kukufanya jambo hilo binadamu upende kulifanya, ulifanye kwa starehe. Utumike kulifanya ki roho safi ili usihitaji fidia.
Kujisaidia haja ndogo ama kubwa, limewekwa pumbazo hilo, ili unayefanya tendo hilo uone raha na burudani.
Kujamiiana na kufa pia kuna pumbazo la starehe. Ambapo binadamu wakati akikata roho hujisikia raha kama anavyosikia raha aipatayo afikapo kileleni.
Ndiyo maana uthibitisho mojawapo wa mtu kukata roho kwa baadhi ya watu ni kutoa manii kwa wanaume.
Kwa uthibitisho wa jambo hili, muulizeni Mshana jr.