Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Naam
Kama kichwa kinavyoeleza...
Kama zilivyostarehe nyingine ktk mwili wa binadamu mfano kula, kunywa sex nk, je kwenda haja kubwa(kunya) au haja ndogo (kukojoa) nayo ni starehe ktk mwili wa binadamu.?
Maana kuna mtu nilisikia akisema ana enjoy pale aendapo haja hizo..
Kama kichwa kinavyoeleza...
Kama zilivyostarehe nyingine ktk mwili wa binadamu mfano kula, kunywa sex nk, je kwenda haja kubwa(kunya) au haja ndogo (kukojoa) nayo ni starehe ktk mwili wa binadamu.?
Maana kuna mtu nilisikia akisema ana enjoy pale aendapo haja hizo..