NGOJA WAJE KUTUKANA MATUSIDaaah nao walikubali ??
Hahahaha π€£π€£π€£π€£π€£π€£ hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.... Mwakarobo FC wazee wa kulalamika.Wakuu, mnamo mwaka 1993 tajiri mmoja muuza mitumba pale mjini Lagos aitwaye Mashood Abiola baada ya kupata faida kidogo alianzisha Bonanza/Ndondo Cup iliyoitwa Abiola Cup au Kombe la Abiola.
Kwenye hilo Abiola Cup Simba waliitwa na walifika fainali, swali ni je, walifanikiwa kupewa medali? Mbona hawajawahi kuzionyesha?
View attachment 2793267
Watakuja wazibandike hapaHawajawahi weka hadharani mkuu
Kwenye hilo Abiola Cup Simba waliitwa na walifika fainali, swali ni je, walifanikiwa kupewa medali? Mbona hawajawahi kuzionyesha?
Hii ni pipi au medali?
Vyovyote vile, atakayeila kama pipi na ale tu, atakayeivaa kama medali na aivae tu! Kwa nini maisha yawe magumu? πππHii ni pipi au medali?
Kwanza sitashangaa sana kwa vile hujui yale yalikuwa mashindano rasmi ya CAF maana hata uki google unakutana na kiingereza utajuaje maskini hadi usomewe na Mzee Manara ama JK.Wakuu, mnamo mwaka 1993 tajiri mmoja muuza mitumba pale mjini Lagos aitwaye Mashood Abiola baada ya kupata faida kidogo alianzisha Bonanza/Ndondo Cup iliyoitwa Abiola Cup au Kombe la Abiola.
Kwenye hilo Abiola Cup Simba waliitwa na walifika fainali, swali ni je, walifanikiwa kupewa medali? Mbona hawajawahi kuzionyesha?
View attachment 2793267
Uki google inakuandikia Abiola cupKwanza sitashangaa sana kwa vile hujui yale yalikuwa mashindano rasmi ya CAF maana hata uki google unakutana na kiingereza utajuaje maskini hadi usomewe na Mzee Manara ama JK.
Yale mliyolishwa kwenye magroup yenu ya WhatsApp ndiyo mnayoyajua.Hii ni sawa tu kwa vile wote humo wenye akili ni wawili tu.
Mwisho medali kwenye soka ni vichekesho tu soka siyo marathon.
Huenda hata hili kwa vile ni hamnazo huenda mliambiwa mnashindania medali.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Naona umekata kiu ya swali, uzuri wachezaji waliocheza fainali wengi wapo hai[emoji23]