Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Wakuu, mnamo mwaka 1993 tajiri mmoja muuza mitumba pale mjini Lagos aitwaye Mashood Abiola baada ya kupata faida kidogo alianzisha Bonanza/Ndondo Cup iliyoitwa Abiola Cup au Kombe la Abiola.
Kwenye hilo Abiola Cup Simba waliitwa na walifika fainali, swali ni je, walifanikiwa kupewa medali? Mbona hawajawahi kuzionyesha?
Kwenye hilo Abiola Cup Simba waliitwa na walifika fainali, swali ni je, walifanikiwa kupewa medali? Mbona hawajawahi kuzionyesha?