Truth Bot AI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 307
- 731
Na wakawafunga π πIhefu hawakucheza mpira wa kiutu uzima
Wanazo za sido.Hawajawahi weka hadharani mkuu
Kwa ufupi ni kwamba huna upeo wa kuelewa kuwa ni kwa nini CAF CL inaitwa TotalEnergies CAF Champions League, na kwa nini Ashburton Grove stadium ya Arsenal ilikuja kuitwa Emirates Stadium. Ni suala la ukosefu wa elimu na exposure ya mambo ya biashara dunianiElezea Kwa kifupi
Afadhali wewe umekiri kuwa medali zilitolewa (bila kujali material yake). Baadaye ukisomasoma utaondoa kidogo kaujinga na utamzidi LabaniKipindi kile zawadi ni medali za bati zilizo tengenezwa na visoda pamoja na sahani ya ubwabwa maharage, juisi ya togwa la machicha ya nazi[emoji3][emoji3]
Ila kumbuka kabla ya Simba kuingia makundi, ni Yanga ndio alie wakwanza kuingia makundi.Ulishalishwa matango pori baki na ujinga wako ni vigumu mtu kukueleza na hutaelewa.
Hata hivyo nyani wanajipendekeza kwa binadamu lakini sisi watani zetu ni kina Al Ahly sio timu ambayo tu hata makundi imewachukua miaka zaidi ya 20
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Yanga aliingia makundi miaka 25 iliyopita, ambapo Mzinze alikuwa hajazaliwa ingawa alikuwa ameshaanza shuleIla kumbuka kabla ya Simba kuingia makundi, ni Yanga ndio alie wakwanza kuingia makundi.
Ila aliingiaYanga aliingia makundi miaka 25 iliyopita, ambapo Mzinze alikuwa hajazaliwa ingawa alikuwa ameshaanza shule
Ndio aliingia, ni jubilei ya miaka 25Ila aliingia
Swali la uzi wako umeshajibiwa.Sijawahi ishi kijijini mkuu