Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Ndio hilo hilo kama ilivyokuwa NBC League au Kagame Cup. Tatizo ni upeo mdogo wa masuala ya biashara ya soka na ni vigumu kuielezea kwenye keyboard hapa 😁Uki google inakuandikia Abiola cup
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hilo hilo kama ilivyokuwa NBC League au Kagame Cup. Tatizo ni upeo mdogo wa masuala ya biashara ya soka na ni vigumu kuielezea kwenye keyboard hapa 😁Uki google inakuandikia Abiola cup
Ulishalishwa matango pori baki na ujinga wako ni vigumu mtu kukueleza na hutaelewa.Uki google inakuandikia Abiola cup
Elezea kidogoUlishalishwa matango pori baki na ujinga wako ni vigumu mtu kukueleza na hutaelewa.
Hata hivyo nyani wanajipendekeza kwa binadamu lakini sisi watani zetu ni kina Al Ahly sio timu ambayo tu hata makundi imewachukua miaka zaidi ya 20
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mkuu naona unawanyoosha makolo kama Makonda anavyowanyoosha ChademaElezea kidogo
Zitumieni vizuri ili Klabu Bingwa msiishie makundiKukosa Bilion 2.5 Inauma nyie
Sasa club bingwa atakayeishia makundi si anafahamika ni Wewe 🤣🤣🤣...Zitumieni vizuri ili Klabu Bingwa msiishie makundi
Kumwelewesha mtu wa utopolo inahitaji uvumilivu,maana hawajawahi kumiliki kitu inaitwa AKILIKwanza sitashangaa sana kwa vile hujui yale yalikuwa mashindano rasmi ya CAF maana hata uki google unakutana na kiingereza utajuaje maskini hadi usomewe na Mzee Manara ama JK.
Yale mliyolishwa kwenye magroup yenu ya WhatsApp ndiyo mnayoyajua.Hii ni sawa tu kwa vile wote humo wenye akili ni wawili tu.
Mwisho medali kwenye soka ni vichekesho tu soka siyo marathon.
Huenda hata hili kwa vile ni hamnazo huenda mliambiwa mnashindania medali.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
AahaaaaasSasa club bingwa atakayeishia makundi si anafahamika ni Wewe 🤣🤣🤣...
Sasa kwenye group lako we unaweza kumfunga nani!
Labda ufunge kamba ila sio kumfunga yyte
Hesabu za fasta fasta za YangaSasa club bingwa atakayeishia makundi si anafahamika ni Wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Sasa kwenye group lako we unaweza kumfunga nani!
Labda ufunge kamba ila sio kumfunga yyte
Yeah kwa sbabu najua ni stress za Kunyimwa Kushiriki AFLVp inahusiana na title hapo??
🤣🤣🤣🤣🤣 Al ahly yupi Wakati ihefu tu kawatandika labda kama unazungumzia Alahly wa Tanga yaani coastalHesabu za fasta fasta za Yanga
Yanga anachukua 6 point Kwa Al ahly
Then kwa wengine wote draw & win
Amerudi kiboko yenu mtaita maji kuwa ni mmaMakonda ni hatari mkuu [emoji23]