Je, kwenye Abiola Cup Simba walepewa Medali?

Je, kwenye Abiola Cup Simba walepewa Medali?

Uki google inakuandikia Abiola cup
Ulishalishwa matango pori baki na ujinga wako ni vigumu mtu kukueleza na hutaelewa.
Hata hivyo nyani wanajipendekeza kwa binadamu lakini sisi watani zetu ni kina Al Ahly sio timu ambayo tu hata makundi imewachukua miaka zaidi ya 20

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Ulishalishwa matango pori baki na ujinga wako ni vigumu mtu kukueleza na hutaelewa.
Hata hivyo nyani wanajipendekeza kwa binadamu lakini sisi watani zetu ni kina Al Ahly sio timu ambayo tu hata makundi imewachukua miaka zaidi ya 20

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Elezea kidogo
 
Kwanza sitashangaa sana kwa vile hujui yale yalikuwa mashindano rasmi ya CAF maana hata uki google unakutana na kiingereza utajuaje maskini hadi usomewe na Mzee Manara ama JK.

Yale mliyolishwa kwenye magroup yenu ya WhatsApp ndiyo mnayoyajua.Hii ni sawa tu kwa vile wote humo wenye akili ni wawili tu.

Mwisho medali kwenye soka ni vichekesho tu soka siyo marathon.
Huenda hata hili kwa vile ni hamnazo huenda mliambiwa mnashindania medali.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kumwelewesha mtu wa utopolo inahitaji uvumilivu,maana hawajawahi kumiliki kitu inaitwa AKILI
 
Sasa club bingwa atakayeishia makundi si anafahamika ni Wewe 🤣🤣🤣...
Sasa kwenye group lako we unaweza kumfunga nani!
Labda ufunge kamba ila sio kumfunga yyte
Aahaaaaas

Tarehe 1 December siyo mbali
 
Sasa club bingwa atakayeishia makundi si anafahamika ni Wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Sasa kwenye group lako we unaweza kumfunga nani!
Labda ufunge kamba ila sio kumfunga yyte
Hesabu za fasta fasta za Yanga

Yanga anachukua 6 point Kwa Al ahly

Then kwa wengine wote draw & win
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Al ahly yupi Wakati ihefu tu kawatandika labda kama unazungumzia Alahly wa Tanga yaani coastal
Ihefu hawakucheza mpira wa kiutu uzima
 
Back
Top Bottom