Mkuu una nondo nzito huyu jamaa alikaa ulaya kweli?? Mie nipo kwenye kujifunza tuHuko Ulaya alikuwa Mmwagia Matango tu amerudi hapa njaa kali gari analoendesha amenunuliwa na JUMA PINTO baada ya mchizi kuchoka kuazimwa gari kila siku akaamua ammnunulie mwana gari baada ya hapo akaamia kumpiga vizinga Davis Mosha napo akachokwa Mwana akaamua amfungulie Radio morogoro ili ajipatie vijisenti kidogo apunguze mizinga...... sasa kazi aliyobakiwa nayo ni kumsafisha Prince kupitia sakata la Lugumi
Thread ya kitoto kinoma. Ni aibu kama Imeandikwa na mtoto wa kiume
Ni bora awe bize kufanya kitu kingine kuliko kutuletea habari za mwanaume mwenzetu tena aliyetupita pesa
Huo mchongo wa kwenda canada ntaupataje...aseeeMkuu
Mkuu huyu jamaa katupita kipesa kivipi
Msimu wa baridi umekaribia unaonaje tukaenda zetu canada tukafagie barabara turudi na mahellla