Je, leo ni uhuru wa Tanzania Bara au Tanganyika?

Je, leo ni uhuru wa Tanzania Bara au Tanganyika?

Mpaka sasa sijafahamu ni kwa nini baadhi ya makada wa ccm wanatuletea huu upotoshaji.

Tarehe 09/12 kila mwaka tunaadhimisha Uhuru wa Tanganyika wa mwaka 1961.

Halafu tarehe 12/01 kila mwaka Wazanzibari wanaadhimisha siku ya Mapinduzi yao ya mwaka 1965.

Na tarehe 26/04 kila mwaka ndiyo kuna maadhimisho ya huu Muungano wetu wa kidwanzi (Muungano wa changu changu, chako changu), kati ya Tanganyika na Zanzibar wa mwaka 1964! Na huu ndiyo uliokuja kuzaa hili jina la Tanzania.

Kwa hiyo kama wansiasa wanataka kuifuta Tanganyika, basi waifute poa na Zanzibar. Yaani kuwepo Tanzania Bara na Tanzania Visiwani! Na siyo hizi porojo za kuifuta Tanganyika kwa kuiita Tanzania Bara, huku Zanzibar ikibakia na utambulisho wake wa awali. Huu upuuzi ndiyo unaosababisha hata Muungano wenyewe uonekane ni wa kidwanzi.
Kwahiyo watoto wetu leo tuwaambie ni uhuru wa Nchi gani kati ya Mbili zinazo tajwa na moja iliyofichwa kwenye koti?

cc Mahandare Pascal Mayalla
 
Kwahiyo watoto wetu leo tuwaambie ni uhuru wa Nchi gani kati ya Mbili zinazo tajwa na moja iliyofichwa kwenye koti?

cc Mahandare Pascal Mayalla
Nawatakia mapumziko mema ya kumbukumbu ya siku uhuru na jamhuri ya nchi iliyokuwa Tanganyika sasa Tanzania。Tarehe 9 Desemba 1961 Tanganyika ilipata uhuru toka kwa mkoloni Mwingereza,9 Desemba 1962 ikawa jamhuri。 Tarehe 26 April 1964 ikaungana na Zanzibar na kubadili jina na kuwa Tanzania,hivyo leo tunapoadhimisha siku hii,ile Tanganyika iliyopata uhuru wake siku hii sasa haipo tena,iliyopo ni Tanzania hivyo kumbukumbu ndio ya Tanganyika lakini maadhimisho ni ya Tanzania。
Heri ya Uhuru na Jamhuri。
P。
 
Wadau nawasalimu.Leo ni tarehe 9 Desemba 2023 Miaka 62 toka Nchi yetu ipatiwe Uhuru wake kutoka kwa Mwingereza.

Kilichonishangaza ni kusikia kuwa Eti Leo ni Miaka 62 ya Uhuru wa TANZANIA BARA Nchi ambayo Binafsi Siijui ipo wapi inapatikana wapi ina ardhi ya ukubwa gani inapakana na Nchi ipi na Rais wake ni nani.

Kusema Tunasherehekea Miaka 62 ya Uhuru wa TANZANIA BARA ni Upotoshaji Mkubwa kwa kizazi hiki na Vizazi vijavyo kwani hakujawahi kuwa na NCHI HIYO ya TANZANIA BARA.

Nchi iliyopata UHURU Miaka 62 iliyopita ni TANGANYIKA na NCHI ya TANZANIA ilipatikana baada ya MUUNGANO wa TANGANYIKA(Nchi iliyopata Uhuru Miaka 62) ilipoungana na Nchi ya ZANZIBAR.

Nchi ya TANZANIA BARA Haipo na Haijawahi kuwepo.
Nawatakia mapumziko mema ya kumbukumbu ya siku uhuru na jamhuri ya nchi iliyokuwa Tanganyika sasa Tanzania。Tarehe 9 Desemba 1961 Tanganyika ilipata uhuru toka kwa mkoloni Mwingereza,9 Desemba 1962 ikawa jamhuri。 Tarehe 26 April 1964 ikaungana na Zanzibar na kubadili jina na kuwa Tanzania,hivyo leo tunapoadhimisha siku hii,ile Tanganyika iliyopata uhuru wake siku hii sasa haipo tena,iliyopo ni Tanzania hivyo kumbukumbu ndio ya Tanganyika lakini maadhimisho ni ya Tanzania。
Heri ya Uhuru na Jamhuri。
P。
 
Nawatakia mapumziko mema ya kumbukumbu ya siku uhuru na jamhuri ya nchi iliyokuwa Tanganyika sasa Tanzania。Tarehe 9 Desemba 1961 Tanganyika ilipata uhuru toka kwa mkoloni Mwingereza,9 Desemba 1962 ikawa jamhuri。 Tarehe 26 April 1964 ikaungana na Zanzibar na kubadili jina na kuwa Tanzania,hivyo leo tunapoadhimisha siku hii,ile Tanganyika iliyopata uhuru wake siku hii sasa haipo tena,iliyopo ni Tanzania hivyo kumbukumbu ndio ya Tanganyika lakini maadhimisho ni ya Tanzania。
Heri ya Uhuru na Jamhuri。
P。
Kaka Mayalla, huyu mtoto Tanganyika kwanini asitajwe tu ?
Tanganyika ndio aliyezaliwa, Tanzania ni muungano, Tanzania asheherekewe kwenye muungano tu!
 
Leo hakuna ubwabwa, sisi walevi tunakunywa pombe kali 😂 😂 😂 . Gwaride hakuna walahii
 
H
tanganyika ni nchi ya wakoloni na waliotawaliwa wakati wa hiyo tanganyika nadhani wapo wachache tu hivi sasa...

wanachi na vijana wengi wanachofahamu Tanzania pekee, hiyo tanganyika ya wakoloni ni historia tu haina maana yeyete tena..
Historia huwa haifutiki mkuu. Kama Tanganyika ndiyo ilipata uhuru toka kwa mkoloni, itabaki kuwa hivyo.
 
H

Historia huwa haifutiki mkuu. Kama Tanganyika ndiyo ilipata uhuru toka kwa mkoloni, itabaki kuwa hivyo.
Tanzania tunasonga mbele bila kubabaika na mambo ambayo unaweza kusoma nyumbani kwenye gazeti kama tu kuongeza uelewa,

lakini kama taifa hatuwezi kuzubaa au kubabaika badala ya kufanya kazi kwa bidii kwa manufaa ya waTanzania wote, waTanganyika wachache waliopo wanaweza kusherehekea tu na ikatosha bila kuhangaisha waTanzania :pulpTRAVOLTA:
 
Nawatakia mapumziko mema ya kumbukumbu ya siku uhuru na jamhuri ya nchi iliyokuwa Tanganyika sasa Tanzania。Tarehe 9 Desemba 1961 Tanganyika ilipata uhuru toka kwa mkoloni Mwingereza,9 Desemba 1962 ikawa jamhuri。 Tarehe 26 April 1964 ikaungana na Zanzibar na kubadili jina na kuwa Tanzania,hivyo leo tunapoadhimisha siku hii,ile Tanganyika iliyopata uhuru wake siku hii sasa haipo tena,iliyopo ni Tanzania hivyo kumbukumbu ndio ya Tanganyika lakini maadhimisho ni ya Tanzania
Heri ya Uhuru na Jamhuri。
P。
"We can easily forgive a child who is afraid of the dark, the real tragedy of life is when men are afraid of the light." Plato.

Courtesy of Kiranga
 
Wadau nawasalimu.Leo ni tarehe 9 Desemba 2023 Miaka 62 toka Nchi yetu ipatiwe Uhuru wake kutoka kwa Mwingereza.

Kilichonishangaza ni kusikia kuwa Eti Leo ni Miaka 62 ya Uhuru wa TANZANIA BARA Nchi ambayo Binafsi Siijui ipo wapi inapatikana wapi ina ardhi ya ukubwa gani inapakana na Nchi ipi na Rais wake ni nani.

Kusema Tunasherehekea Miaka 62 ya Uhuru wa TANZANIA BARA ni Upotoshaji Mkubwa kwa kizazi hiki na Vizazi vijavyo kwani hakujawahi kuwa na NCHI HIYO ya TANZANIA BARA.

Nchi iliyopata UHURU Miaka 62 iliyopita ni TANGANYIKA na NCHI ya TANZANIA ilipatikana baada ya MUUNGANO wa TANGANYIKA(Nchi iliyopata Uhuru Miaka 62) ilipoungana na Nchi ya ZANZIBAR.

Nchi ya TANZANIA BARA Haipo na Haijawahi kuwepo.
Leo ni Uhuru wa Tanganyika Iliyo jibadilisha jina na kujiita Tanzania.
 
Wadau nawasalimu.Leo ni tarehe 9 Desemba 2023 Miaka 62 toka Nchi yetu ipatiwe Uhuru wake kutoka kwa Mwingereza.

Kilichonishangaza ni kusikia kuwa Eti Leo ni Miaka 62 ya Uhuru wa TANZANIA BARA Nchi ambayo Binafsi Siijui ipo wapi inapatikana wapi ina ardhi ya ukubwa gani inapakana na Nchi ipi na Rais wake ni nani.

Kusema Tunasherehekea Miaka 62 ya Uhuru wa TANZANIA BARA ni Upotoshaji Mkubwa kwa kizazi hiki na Vizazi vijavyo kwani hakujawahi kuwa na NCHI HIYO ya TANZANIA BARA.

Nchi iliyopata UHURU Miaka 62 iliyopita ni TANGANYIKA na NCHI ya TANZANIA ilipatikana baada ya MUUNGANO wa TANGANYIKA(Nchi iliyopata Uhuru Miaka 62) ilipoungana na Nchi ya ZANZIBAR.

Nchi ya TANZANIA BARA Haipo na Haijawahi kuwepo.
Huu ni upotoshaji mkubwa sana. Nia ni kupoteza historia na uzalendo wa Tanganyika. Si unaona wanavyoahirisha sherehe za maadhimisho?
 
Hatujawahi kupata uhuru mkuu hizo ni drama kama Huwezi kumchagua mwenyekiti wa mtaa alafu anatamba mtaani kuwa ata husipomchagua anakuongoza je vipi kwa Diwan raisi au mbunge??kwa sasa hivi ni bora mkoloni arudi haraka saana angalau ata wakoloni hawakuteka wala kuua watu.
 
Back
Top Bottom