Mwaka wa jana wa 2023 tulianza kulipia leseni ya biashara kupitia mfumo wao mpya wa Tausi. Mwanzoni ulisumbua sana, ila mwishoni mambo yalienda sawa.
Kwa upande wangu naona ilikuwa poa tu, kwa sababu kuna kodi fulani hivi ya kiwiziwizi ya service levy, sikulipia.