kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
je nikipaka limau baada ya kunyoa ndevu kuna madhara kwenye ngozi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahsanteHalina madhara lakini nadhani halina msaada kwa ngazi maana lengo la kupaka spirit baada ya kunyoa ni kuua bakteri sasa limau lina vitamin C nyingi ambayo haina antibacterial effect. Nadhani nitakuwa nmekusaidia
maana nasikia sprit inakomaza ngozi kwa hyo nataka nitumie limau kama aftershaveKwanini upake limao au basi tu akili yako imekutuma kupaka limao?