Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,478
Zakumi,
Siamini umesema kitu hicho. Yani mtu kutaka kujua wasifu/uwezo wa kiongozi mtarajiwa ni maswali ya polisi ?
Nilifikiri JF is all about good governance and thorough vetting of potential leadership ?
Mama, thank you for that useful post.
Kama JF is all about good governance and thorough vetting of potential leadership, sasa Prof. Lipumba anakosolewa nini hapa? He just stated the fact, Prof. Mwandosya is so good.
Matatizo ya watanzania ni kuleta ushabiki wa Simba na Yanga kwenye siasa. Mshabiki wa Simba hatakiwi kusema mazuri kuhusu Yanga na vilevile wa Yanga hatakiwi kusema kuhusu Simba.
Mimi sio CUF lakini nimemsikia Lipumba akiongea, jamaa anacho kichwa. Na yeye kuendelea kuwa CUF ni kama kuupa upinzani profile.
Watanzania wengi wanafikiri kuwa siasa ni uongo uliokomaa. Na matokeo yake siasa zetu hazina intellectual curiosity yoyote na hata mwizi akiweza kuongea maneno anapata wapiga kura.