Je, Lissu anautaka Uenyekiti CHADEMA?

Je, Lissu anautaka Uenyekiti CHADEMA?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Lissu ni Makamu Mwenyeki wa CHADEMA, asipokuwepo Mwenyekiti basi yeye anachukua mamlaka.

Nimeshtushwa na kauli ya Lissu kuzuia wanachadema wasimuwekee dhamana Mbowe, je anataka Mbowe aozee jela ili aupate Uenyekiti wa Chadema?

Mbona yeye yuko ubeleji kwa kuwa aliwekewa dhamana? Je, TAL ana roho mbaya? Kama anahubiri dola ifate sheria, mbona anazuia CDM na wanachama kutumia sheria kumpa dhamana Mbowe?
 
Lisu ashagundua kuwa Mbowe ni msanii wa kisiasa, hana malengo ya kweli ya kushika dola ndo maana mwaka 2015 alifanya magumashi ya kuwaleta wana CCM chadema ili waje kurudisha juhudi za wapinzani nyuma wasishike nchi na kukisambaratisha chama. Mbowe ni mchumia tumbo mkubwa.
 
Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.

Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.

Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli

Ndiyo maana LISU alikuwa wa kwanza kusema Magufuli anaumwa na hatapona.
 
Lissu ni Makamu Mwenyeki wa CHADEMA, asipokuwepo Mwenyekiti basi yeye anachukua mamlaka.

Nimeshtushwa na kauli ya Lissu kuzuia wanachadema wasimuwekee dhamana Mbowe, je anataka Mbowe aozee jela ili aupate Uenyekiti wa Chadema?

Mbona yeye yuko ubeleji kwa kuwa aliwekewa dhamana? Je, TAL ana roho mbaya? Kama anahubiri dola ifate sheria, mbona anazuia CDM na wanachama kutumia sheria kumpa dhamana Mbowe?
Acha wapbane wenyewe
 
Hilo tamko la kutowekewa thamana lilitolewa na Mbowe kabla hajakamatwa
 
Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.

Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.

Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli

Ndiyo maana LISU alikuwa wa kwanza kusema Magufuli anaumwa na hatapona.
Dah..
 
Lisu ashagundua kuwa Mbowe ni msanii wa kisiasa, hana malengo ya kweli ya kushika dola ndo maana mwaka 2015 alifanya magumashi ya kuwaleta wana CCM chadema ili waje kurudisha juhudi za wapinzani nyuma wasishike nchi na kukisambaratisha chama. Mbowe ni mchumia tumbo mkubwa.
Lisu alichukua hatua gani hiyo 2015?!
 
Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.

Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.

Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli

Ndiyo maana LISU alikuwa wa kwanza kusema Magufuli anaumwa na hatapona.
Unabishana na madaktari pamoja na samia kwamba alikufa kwa shoti ya umeme kwenye moyo au unataka kusema na wao wanahusika
 
Back
Top Bottom