Je Lisu alitaka Kuhongwa nyumbani kwakeTegeta? au alipenyezewa taarifa za kutaka kuhongwa na Abdul?

Je Lisu alitaka Kuhongwa nyumbani kwakeTegeta? au alipenyezewa taarifa za kutaka kuhongwa na Abdul?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Huyu Lisu simuelewi mimi, mwanzo alisema alifuatwa nyumbani kwake na Mfuko wa Pesa ili ahongwe aache kumsema sema vibaya Mama yake na Abdul. na ameenda mbali kusema alie mpeleka Abdul ni Ezekiel Wenje.

alishindwa kutecord wakati anashwawishiwa apokee hizo pesa? hata short video ya CCTV ikionyesha watu wakitaka kumhonga hakuna?

Sasa hii ya kwamba mtu alie mpenyezea habari za kutaka kuhongwa na Abdul ameisha tangulia mbele ya haki ni ipi hii?

Hizi ni habari mbili zinakinazana bora Lisu alete hata robo ya ushahidi ili wadau tuamini.
 
Huyu Lisu simuelewi mimi, mwanzo alisema alifuatwa nyumbani kwake na Mfuko wa Pesa ili ahongwe aache kumsema sema vibaya Mama yake na Abdul. na ameenda mbali kusema alie mpeleka Abdul ni Ezekiel Wenje.

alishindwa kutecord wakati anashwawishiwa apokee hizo pesa? hata short video ya CCTV ikionyesha watu wakitaka kumhonga hakuna?

Sasa hii ya kwamba mtu alie mpenyezea habari za kutaka kuhongwa na Abdul ameisha tangulia mbele ya haki ni ipi hii?

Hizi ni habari mbili zinakinazana bora Lisu alete hata robo ya ushahidi ili wadau tuamini.
Kwa akili ya kawaida tu;Unadhani yeye hajajiuliza hayo maswali kabla hajatoa taarifa za awali?Unataka atoe ushahidi kwenye media ili uharibiwe,uhaririwe na kutafutiwa majawabu dhidi yake?
 
Huyu Lisu simuelewi mimi, mwanzo alisema alifuatwa nyumbani kwake na Mfuko wa Pesa ili ahongwe aache kumsema sema vibaya Mama yake na Abdul. na ameenda mbali kusema alie mpeleka Abdul ni Ezekiel Wenje.

alishindwa kutecord wakati anashwawishiwa apokee hizo pesa? hata short video ya CCTV ikionyesha watu wakitaka kumhonga hakuna?

Sasa hii ya kwamba mtu alie mpenyezea habari za kutaka kuhongwa na Abdul ameisha tangulia mbele ya haki ni ipi hii?

Hizi ni habari mbili zinakinazana bora Lisu alete hata robo ya ushahidi ili wadau tuamini.
Unataka desa la kukariri?
 
Lissu anafanya Yale Yale waliofanya wale vijana wahuni CCM, Kila baya atupiwa Magu wakijua hawezi Toka kaburini kuja kujitetea!
 
Huyu Lisu simuelewi mimi, mwanzo alisema alifuatwa nyumbani kwake na Mfuko wa Pesa ili ahongwe aache kumsema sema vibaya Mama yake na Abdul. na ameenda mbali kusema alie mpeleka Abdul ni Ezekiel Wenje.

alishindwa kutecord wakati anashwawishiwa apokee hizo pesa? hata short video ya CCTV ikionyesha watu wakitaka kumhonga hakuna?

Sasa hii ya kwamba mtu alie mpenyezea habari za kutaka kuhongwa na Abdul ameisha tangulia mbele ya haki ni ipi hii?

Hizi ni habari mbili zinakinazana bora Lisu alete hata robo ya ushahidi ili wadau tuamini.
Kwani mtu akitaka kukuhonga anakwambia anataka kukuhonga ili ujiandae kumrekodi?
 
Huyu Lisu simuelewi mimi, mwanzo alisema alifuatwa nyumbani kwake na Mfuko wa Pesa ili ahongwe aache kumsema sema vibaya Mama yake na Abdul. na ameenda mbali kusema alie mpeleka Abdul ni Ezekiel Wenje.

alishindwa kutecord wakati anashwawishiwa apokee hizo pesa? hata short video ya CCTV ikionyesha watu wakitaka kumhonga hakuna?

Sasa hii ya kwamba mtu alie mpenyezea habari za kutaka kuhongwa na Abdul ameisha tangulia mbele ya haki ni ipi hii?

Hizi ni habari mbili zinakinazana bora Lisu alete hata robo ya ushahidi ili wadau tuamini.
chizi huyu hakuna mtu anamuelewa
 
Hivi ile kesi ya Lisu na Makonda imeishia wapi mbona kimya sana!!?Lisu ni jasiri ila naona ana shida ya utafiti.
 
Halafu kama hupendi rushwa, kwa nini mtu aliyetaka kukuhonga umwambie huendi Masaki, akufuate nyumbani? Kwa nini usikatae tu moja kwa moja?
 
Huyu Lisu simuelewi mimi, mwanzo alisema alifuatwa nyumbani kwake na Mfuko wa Pesa ili ahongwe aache kumsema sema vibaya Mama yake na Abdul. na ameenda mbali kusema alie mpeleka Abdul ni Ezekiel Wenje.

alishindwa kutecord wakati anashwawishiwa apokee hizo pesa? hata short video ya CCTV ikionyesha watu wakitaka kumhonga hakuna?

Sasa hii ya kwamba mtu alie mpenyezea habari za kutaka kuhongwa na Abdul ameisha tangulia mbele ya haki ni ipi hii?

Hizi ni habari mbili zinakinazana bora Lisu alete hata robo ya ushahidi ili wadau tuamini.
Kwanza ulichoandika sio sahihi. Nikurekebishe

Aliye collaborate madai ya Lissu kwenye kikao cha kamati kuu ya chadema ndiye amefariki.

Nafikiri unaelewa maana ya ku collaborate.
 
Kwani mtu akitaka kukuhonga anakwambia anataka kukuhonga ili ujiandae kumrekodi?

Not even...
Nikutakie heri, baraka, afya njema na mafanikio 2025 kiongozi.

Haya mambo ya siasa yataendelea kujiweka sawa yenyewe.
 
Back
Top Bottom