Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Naunga mkono hoja yakoAnaweza kuwa sahihi kiupande wake, ila Senior player kama ramos sio vyema kutojumuishwa ukizingatia ni captain na mzoefu pia
Sergio ramos hayuko fiti kiafya.Anaweza kuwa sahihi kiupande wake, ila Senior player kama ramos sio vyema kutojumuishwa ukizingatia ni captain na mzoefu pia
Ujerumani waliichukua Euro bila mastaa wake, waliichukua vijana tu Ndio wakabeba na ubingwa. Nadhani ukiondoa siasa za mpira ikibidi tuangalie ni mchezaji gani ameitwa ambaye Hafai, ambaye tungeweza kumtoa tukamuingia mchezaji wa real madrid. Mi mpaka sasa sijakiona kikosi labda aliyekiona aweke hapa
Kocha wa timu ya Taifa ya Spain, Jose Luis Enrique ameita kikosi cha timu ya taifa kwaajili ya maandalizi ya Michuano ya Ulaya kwa Timu za Taifa zitakzoanza Juni 11 mwaka huu.
katika hali ya kushangaza hakuna mchezaji hata mmoja kutoka kwa wababe Real Madrid aliyeitwa kikosini humo.
je Luis Enrique yuko sahihi? Ataweza kuwapa Spain mafanikio kwenye Euro 2020 mwaka huu bila mchezaji wa Spain?
View attachment 1796457