Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kocha wa timu ya Taifa ya Spain, Jose Luis Enrique ameita kikosi cha timu ya taifa kwaajili ya maandalizi ya Michuano ya Ulaya kwa Timu za Taifa zitakzoanza Juni 11 mwaka huu.
katika hali ya kushangaza hakuna mchezaji hata mmoja kutoka kwa wababe Real Madrid aliyeitwa kikosini humo.
Je, Luis Enrique yuko sahihi? Ataweza kuwapa Spain mafanikio kwenye Euro 2020 mwaka huu bila mchezaji wa Madrid?
katika hali ya kushangaza hakuna mchezaji hata mmoja kutoka kwa wababe Real Madrid aliyeitwa kikosini humo.
Je, Luis Enrique yuko sahihi? Ataweza kuwapa Spain mafanikio kwenye Euro 2020 mwaka huu bila mchezaji wa Madrid?