Mzalendomorogoro
Member
- Mar 15, 2018
- 26
- 36
"Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, ametangaza rasmi kurejea kwa Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi maarufu kama Nane Nane kwa mwaka 2022.
Waziri Bashe amesema baada ya timu ya Wizara kupitia na kubuni namna bora kulingana na mazingira ya sasa ya namna bora ya kuendesha maonesho ya Sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mambo kadhaa yamefanyiwa maboresho na kushauri namna bora ya kuendesha maonesho hayo yenye zaidi ya miaka 27 tangu kuanzishwa kwake.
Waziri Bashe amesema jambo la kwanza ni kuyaendesha maonesho hayo ili kuwa endelevu; Kwa kuanzisha Vituo vya mafunzo kwa Wakulima msimu wote wa mwaka na wakati huo Vituo hivyo kuwa atamizi (Incubate) kwa Wakulima kwa kutumia teknolojia mbalimbali za kilimo kwa kipindi chote cha mwaka."
Jee kuna faida yoyote ambayo wananchi tunapata? kutokana na maadhimisho ya siku ya wakulima Tanzania ikumbukwe mwaka jana maadhimisho alihairishwa kwa tangazo la Waziri wa Kilimo wa wakati huo Prof. Adolf Mkenda; Tangazo alilitoa tarehe 10 Februari, 2021 Jijini Dodoma ambapo ilielezwa kuwa Serikali inafanya tathmini ya namna bora ya kuyaendesha maonesho ya Sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) kwa namna bora.
Waziri Bashe amesema baada ya timu ya Wizara kupitia na kubuni namna bora kulingana na mazingira ya sasa ya namna bora ya kuendesha maonesho ya Sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mambo kadhaa yamefanyiwa maboresho na kushauri namna bora ya kuendesha maonesho hayo yenye zaidi ya miaka 27 tangu kuanzishwa kwake.
Waziri Bashe amesema jambo la kwanza ni kuyaendesha maonesho hayo ili kuwa endelevu; Kwa kuanzisha Vituo vya mafunzo kwa Wakulima msimu wote wa mwaka na wakati huo Vituo hivyo kuwa atamizi (Incubate) kwa Wakulima kwa kutumia teknolojia mbalimbali za kilimo kwa kipindi chote cha mwaka."
Jee kuna faida yoyote ambayo wananchi tunapata? kutokana na maadhimisho ya siku ya wakulima Tanzania ikumbukwe mwaka jana maadhimisho alihairishwa kwa tangazo la Waziri wa Kilimo wa wakati huo Prof. Adolf Mkenda; Tangazo alilitoa tarehe 10 Februari, 2021 Jijini Dodoma ambapo ilielezwa kuwa Serikali inafanya tathmini ya namna bora ya kuyaendesha maonesho ya Sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) kwa namna bora.