LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Nasema tu huu mwaka uishe tu maana umekuwa na mambo mengi magumu hasa mimi na wife wangu
Katika kipindi Cha nyuma nilikubali kunyanyasika hasa katika tendo hata kutoheshimika kwani nilipotishia kuchepuka niliambiwa niende tu ingawa mimi kwa wakati huo sikutaka kabisa kufanya hivo nilikaa nae bila kuchepuka kwa miaka 4
Sasa nilivoona nazidi kudharaulika nikaamua kufanya maamuzi ya kutoka nje na mara zote alinifuma kupitia simu kwani sikuwa makini
Kuna meseji alikuta nimetumiwa na hiyo mchepuko akisema yupo tayari kunizalia
Hapo ndipo alipovurugwa mpaka Sasa ni miezi miwili imepita namuona kabisa amebadilika na akijua kabisa Bado nipo na huyo mwanamke
Basi yeye siku hizi hatumii tena sauti ya kupaniki bali huniomba niachane na huyo mwanamke na mimi humjibu kwamba ntaachana nae tu ila asubirie
Kipindi Cha nyuma alinitishia kwenda kwao Sasa kaka zake wakamwambia asije kukanyaga nyumbani labda tu kama anaenda kusalimia
Kipindi Cha nyuma niliongea nae sana lakini wapi? Lakini nilivomchepukia tu naona adabu imeongezeka
Je, Njia niliyoitumia ni sahihi? Maana imeniletea matokeo mazuri. Au ni mtego tu.
Katika kipindi Cha nyuma nilikubali kunyanyasika hasa katika tendo hata kutoheshimika kwani nilipotishia kuchepuka niliambiwa niende tu ingawa mimi kwa wakati huo sikutaka kabisa kufanya hivo nilikaa nae bila kuchepuka kwa miaka 4
Sasa nilivoona nazidi kudharaulika nikaamua kufanya maamuzi ya kutoka nje na mara zote alinifuma kupitia simu kwani sikuwa makini
Kuna meseji alikuta nimetumiwa na hiyo mchepuko akisema yupo tayari kunizalia
Hapo ndipo alipovurugwa mpaka Sasa ni miezi miwili imepita namuona kabisa amebadilika na akijua kabisa Bado nipo na huyo mwanamke
Basi yeye siku hizi hatumii tena sauti ya kupaniki bali huniomba niachane na huyo mwanamke na mimi humjibu kwamba ntaachana nae tu ila asubirie
Kipindi Cha nyuma alinitishia kwenda kwao Sasa kaka zake wakamwambia asije kukanyaga nyumbani labda tu kama anaenda kusalimia
Kipindi Cha nyuma niliongea nae sana lakini wapi? Lakini nilivomchepukia tu naona adabu imeongezeka
Je, Njia niliyoitumia ni sahihi? Maana imeniletea matokeo mazuri. Au ni mtego tu.