grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Kwa wale wataalamu wa masuala ya Bima za magari nawaomba mnijuze.
Jamaa yangu amenunua gari mkononi mwa mtu, gari yenyewe imelipiwa bima premium ambayo inatarajiwa kuisha mwishoni mwa mwaka huu. Yeye hataki kulipia bima hiyo "premium" anataka "third party", alinifuata kuomba ushauri kama anaweza kubadili na kulipia "third party".
Kwa kuwa mimi sio mtaalamu wa mambo haya nikaona nililete hili kwenu waheshimiwa ili mumshauri ipasavyo. Gari yenyewe ni Toyota Carina TI.
Karibuni.
Jamaa yangu amenunua gari mkononi mwa mtu, gari yenyewe imelipiwa bima premium ambayo inatarajiwa kuisha mwishoni mwa mwaka huu. Yeye hataki kulipia bima hiyo "premium" anataka "third party", alinifuata kuomba ushauri kama anaweza kubadili na kulipia "third party".
Kwa kuwa mimi sio mtaalamu wa mambo haya nikaona nililete hili kwenu waheshimiwa ili mumshauri ipasavyo. Gari yenyewe ni Toyota Carina TI.
Karibuni.