Je, mafuta ya kondomu ni salama?

kwa kondom za kiume ayo mafuta yapo ndani ya kondom yenyewe. mkimaliza kufanya unachomoa mb.oo yenye ayo mafuta na shahawa vyote ivi viko ndani ya iyo kondom(na sio nje). na nazani ht kondom za kike ni ivoivo. mb.oo ndo inayogusa mafuta ya kondom nasio k.

sasa ayo mafuta ya kondom yanayofika kwenye hicho kizazi cha mwanamke ni yapi? ebu fafanua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…