Je, magari ya Japan huwa mileage zinazoonyeshwa ziko sahihi?

Je, magari ya Japan huwa mileage zinazoonyeshwa ziko sahihi?

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Wataalam wa magari, naomba kuuliza maswali machache.

Nasikia watu wanaweza kuchezea Odometer reading za magari kwa kurudisha nyuma ili gari ionekane iko na mileage chache

Ukikuta gari kwenye mtandao wameandika mileage ni 60,000 KM je huwa ni sahihi ama wamechezea Odometer? Je, Japan hawana huo mchezo?

Swali la pili, kwa hapa Tanzania, gari nyingi zilizotumika hapa watu wengine wakitaka kuuza hua wanachezea Odometer reading. Unawezaje kujua kama hizo reading zimechezewa?

Natanguliza shukrani.
 
Wataalam wa magari, naomba kuuliza maswali machache.

Nasikia watu wanaweza kuchezea Odometer reading za magari kwa kurudisha nyuma ili gari ionekane iko na mileage chache

Ukikuta gari kwenye mtandao wameandika mileage ni 60,000 KM je huwa ni sahihi ama wamechezea Odometer? Je, Japan hawana huo mchezo?

Swali la pili, kwa hapa Tanzania, gari nyingi zilizotumika hapa watu wengine wakitaka kuuza hua wanachezea Odometer reading. Unawezaje kujua kama hizo reading zimechezewa?

Natanguliza shukrani.
Japan wanajitahidi kwa uaminifu. Ila haitoshelezi kuamini 100%.
 
Wataalam wa magari, naomba kuuliza maswali machache.

Nasikia watu wanaweza kuchezea Odometer reading za magari kwa kurudisha nyuma ili gari ionekane iko na mileage chache

Ukikuta gari kwenye mtandao wameandika mileage ni 60,000 km je hua ni sahihi ama wamechezea Odometer? Je Japan hawana huo mchezo?

Swali la pili, kwa hapa Tanzania, gari nyingi zilizotumika hapa watu wengine wakitaka kuuza hua wanachezea Odometer reading. Unawezaje kujua kama hizo reading zimechezewa?

Natanguliza shukrani.
Kwa Japan inaweza kuwa sahihi. Ila kwa hapa Bongo uchakachuji ni mwingi.

Yard nyingi hawakupi documents za gari. Wanakuambia hazipo.
 
Wataalam wa magari, naomba kuuliza maswali machache.

Nasikia watu wanaweza kuchezea Odometer reading za magari kwa kurudisha nyuma ili gari ionekane iko na mileage chache

Ukikuta gari kwenye mtandao wameandika mileage ni 60,000 KM je huwa ni sahihi ama wamechezea Odometer? Je, Japan hawana huo mchezo?

Swali la pili, kwa hapa Tanzania, gari nyingi zilizotumika hapa watu wengine wakitaka kuuza hua wanachezea Odometer reading. Unawezaje kujua kama hizo reading zimechezewa?

Natanguliza shukrani.

Yes wanachezea sana , kuna mtu aliingizwa mkenge , kwenye odometer aliyotumiwa na jamaa wa japan ilikuwa inaonyesha 53,276km baada ya kupata chassis namba alivyotumiwa document(B/L) akaisearch akaiona gari ilikuwa inauzwa Tradecarview na ilikuwa na km halisi ambazo ni 153,276km ,inamaana jamaa alifuta 1 mwanzoni.

Ila asikwambie mtu gari ya japan hata ikiwa na kilometer zaidi ya laki 2 lakini kitu MSUMARI.
 
Yes wanachezea sana , kuna mtu aliingizwa mkenge , kwenye odometer aliyotumiwa na jamaa wa japan ilikuwa inaonyesha 53,276km baada ya kupata chassis namba alivyotumiwa document(B/L) akaisearch akaiona gari ilikuwa inauzwa Tradecarview na ilikuwa na km halisi ambazo ni 153,276km ,inamaana jamaa alifuta 1 mwanzoni.

Ila asikwambie mtu gari ya japan hata ikiwa na kilimeter zaidi ya laki 2 lakini kitu MSUMARI.
Kale kamoja ka mwanzo wanakafuta sana. Uzuri wake ndio huo wanajua gari ni nzuri ila ukiona 170,000km utaogopa kununua.
 
Kale kamoja ka mwanzo wanakafuta sana. Uzuri wake ndio huo wanajua gari ni nzuri ila ukiona 170,000km utaogopa kununua.

Kabisa mkuu wanafuta hapo ndio niliamini maana aliyeinginzwa mkenge ni jamaa yangu na mimi ndio niliyomsaidia kuitoa na nikampelekea Mbeya,ila japo walifuta 1 mwanzoni lakini ilikuwa msumari hatari.
 
Yes wanachezea sana , kuna mtu aliingizwa mkenge , kwenye odometer aliyotumiwa na jamaa wa japan ilikuwa inaonyesha 53,276km baada ya kupata chassis namba alivyotumiwa document(B/L) akaisearch akaiona gari ilikuwa inauzwa Tradecarview na ilikuwa na km halisi ambazo ni 153,276km ,inamaana jamaa alifuta 1 mwanzoni.

Ila asikwambie mtu gari ya japan hata ikiwa na kilimeter zaidi ya laki 2 lakini kitu MSUMARI.
Wale jamaa sheria ya nchi yao, gari ikisha swampa kilomita 100,000 lazima upeleke ikfanyiwe service kubwa. Ndio maana ni nzuri kununua gari ya japana iliyo na km kama 30,50,60KM inakuwa bado na hali nzuri sana, au 105,000km hapa inakuwa imetoka service kubwa.. ila sio 100% kuwa ni uhakika bado duniani kuna makatili tu, yasio penda wenzao wafurahie
 
Wale jamaa sheria ya nchi yao, gari ikisha swampa kilomita 100,000 lazima upeleke ikfanyiwe service kubwa. Ndio maana ni nzuri kununua gari ya japana iliyo na km kama 30,50,60KM inakuwa bado na hali nzuri sana, au 105,000km hapa inakuwa imetoka service kubwa.. ila sio 100% kuwa ni uhakika bado duniani kuna makatili tu, yasio penda wenzao wafurahie
Ni kweli kuna jamaa aliniambia gari zenye zaidi ya 100,000km wanakuwa washabadili timing belt...kwahiyo zikija huku no need ya kuchange.
 
Ni kweli kuna jamaa aliniambia gari zenye zaidi ya 100,000km wanakuwa washabadili timing belt.
Ni sheria hiyo pale home Japenga ukitachukua iliyo na 80,000+ jiandae kufanya service kubwa mwemyewe. Chukua gari inayochezea 50,000 - na inayozidi 100,000 iwe hata na 101,000Km .. ila hatupangiani cha kununua 😀😀😀😀.. mtu akipenda anunue hata yenye 95,000km fresh tu
 
Kabisa mkuu wanafuta hapo ndio niliamini maana aliyeinginzwa mkenge ni jamaa yangu na mimi ndio niliyomsaidia kuitoa na nikampelekea Mbeya,ila japo walifuta 1 mwanzoni lakini ilikuwa msumari hatari.
Nilinunua GX100 ilikuwa na 92,000 nikaiendesha ilipofika 99999 nasubiri iingie 100,000km nikaona -00000 baadae nikacheki hizo dash vizuri ni mbili iliofutwa kwahio ni 200,000! Ila mpaka speedometer imekufa gari ina 255,000km na bado Moto wake ule ule.
 
Ni sheria hiyo pale home Japenga ukitachukua iliyo na 80,000+ jiandae kufanya service kubwa mwemyewe. Chukua gari inayochezea 50,000 - na inayozidi 100,000 iwe hata na 101,000Km .. ila hatupangiani cha kununua 😀😀😀😀.. mtu akipenda anunue hata yenye 95,000km fresh tu
Mimi afadhali ninunue ya 2006 yenye 150,000km kuliko ya 2006 yenye 50,000km hio yenye 50,000km kwa 90% ni za uongo.
 
Mimi afadhali ninunue ya 2006 yenye 150,000km kuliko ya 2006 yenye 50,000km hio yenye 50,000km kwa 90% ni za uongo.
Hapa upo sahihi kabisa, hata kwa maheaaby ya haraka haraka ina sound.. hii ya 50,000 - 2006 kuna uwezekano mkubwa wa kupigwa
 
Hizo documents ni kama zipi mkuu?
Kuna ile moja ambayo ni ya muhimu sana kwa gari (inspection sheet)

Naamini gari ya mdau ya mkononi iliingia kabla ya utaratibu mpya wa sasa wa kufanyia gari inspection hapa hapa.

Hivyo aombe inspection sheet ya hiyo gari.

Kwema lakini mzee?
 
Back
Top Bottom