Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,288
mimi pia ni mtumiaji wa hiyo kitu ningependa kujua kama kuna madhara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi simtaalamu lakini naona inamadhara na ninahisi inaweza kuleta kansa ya ngozi kwani inaua vishina vya vinywekeo kwakuviozesha kwa mda mfupi sana ndiyo maana unavuta nywele zintoka bila ya kusikia maumivu!!think twice on it.