Je Magufuli anayaweza haya?

Je Magufuli anayaweza haya?

farujoni

Senior Member
Joined
Dec 19, 2016
Posts
189
Reaction score
246
....
 

Attachments

  • 1486619015688.jpg
    1486619015688.jpg
    38.3 KB · Views: 94
  • 1486619025723.jpg
    1486619025723.jpg
    51.4 KB · Views: 86
  • 1486619048499.jpg
    1486619048499.jpg
    43.8 KB · Views: 80
Yaani kuna watu wana haki ya kuwa viongozi wanaweza kuwa kwao ni ma chief au wakina baba babu walikuwa viongozi, wanakuwa wamezoea maisha hayo, sasa tatizo la uongoz first generation ndo ww ukoo mzima ndo ww umetoka! Ni sheeda sana, Uhuru wa watu kazaliwa ikulu kazoea lifestyle hiyo!
 
Na hv ni mwaka wa uchaguzi huu Kenya anything is possible
 
Nakumbuka wakati wa kikwete kulikuwa na misafara mingi sana ya wasanii kwenda ikulu lakini tangia uingie uongozi mpya sasa mwaka sijasikia msanii maarufu akitembelea ikulu...je najiuliza hivi magu anaweza mwalika msanii ikulu wakaenda ku-dub Pamoja kama alivyofanya Uhuru kenyata... je magu anaweza vaa vizibao vya vijana kama hivyo

View attachment 468710View attachment 468711View attachment 468712
Nakumbuka wakati wa kikwete kulikuwa na misafara mingi sana ya wasanii kwenda ikulu lakini tangia uingie uongozi mpya sasa mwaka sijasikia msanii maarufu akitembelea ikulu...je najiuliza hivi magu anaweza mwalika msanii ikulu wakaenda ku-dub Pamoja kama alivyofanya Uhuru kenyata... je magu anaweza vaa vizibao vya vijana kama hivyo

View attachment 468710View attachment 468711View attachment 468712
 
Na hv ni mwaka wa uchaguzi huu Kenya anything is possible
kweli kabisa mkuu, unakumbuka mwaka flan museven alitunga na wimbo kabisa na akaperform stejini, wimbo unaitwa ANOTHER RAP
 
Back
Top Bottom