Je, majasusi kutoka ughaibuni wanatumia NGOs za Afya kuja kupeleleza nchi za kiafrika?

U
Umeshawahi kujiuliza mishahara mikubwa na posho ya kina Gema Akilimali, Hellen Kijo Bisimba, Harold Sungusia na NGO zao inalipwa na nani na walipaji unadhani ni wajomba zetu?
 
Mkuu umemaliza yote. Ni punguani tu atabishana na hizi facts
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hao wanaochangia 50% ya bajeti yetu ni wajomba zetu pia? Mbona wakati wa kuchangia bajet ya nchi sio majasusi lakini wakichangia kwingine ni majasusi?? Pathetic
U

Umeshawahi kujiuliza mishahara mikubwa na posho ya kina Gema Akilimali, Hellen Kijo Bisimba, Harold Sungusia na NGO zao inalipwa na nani na walipaji unadhani ni wajomba zetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…