Je, maji ya bahari yana matumizi gani?

Je, maji ya bahari yana matumizi gani?

Mimi nahamia kigamboni then naunganisha bomba Hadi bahari, ndo maji pekeee yatakayokuwa hanakumika home kwenye kila kitu.....
[emoji4] [emoji4]halafu unafungua car wash ya binadamu, watu wanakuja kuoga kwa malipo
 
[emoji4] [emoji4]halafu unafungua car wash ya binadamu, watu wanakuja kuoga kwa malipo
Asanteeee mkuu kwa wazo zuri linaloweza kugeuzwa kuwa biashara, Nadhani sijui tuiite Soul Cleanser... Tukiitangaza huduma hii tutatoka nikushilikiana vizuri tu na mkuu Jr Mshana.....
Tunaunga bomba toka bahari Hadi Dodoma ili kuweza kufikisha huduma kirahisi kwa watu wa bara na nchi jirani za landlocked.....

"Mbona Mzee Msapila/babu wa loliondo alifanikiwa, japo nadhani hakujiandaa kwa soko lile kubwa vile ndo maaana biashara ilianguka gafla"
 
Jana mida ya jioni nilikua pale Kivukoni ferry nikimsubiri mtu, ghafla akaja mdada wa makamo anaelekea kwenye utuuzima hivi.

Yule mdada alikuja na gari yake ndogo hivi, akashuka kwenye gari huku akiwa na kidumu chake mkononi.

Alivuka ule ukingo ambapo mara nyingi watu wanakaaga na kuingia kwenye maji (ilimchukua muda sana mana alikua anaona aibu). Mwisho akaamua liwalo liwe, akajitosa na kidumu chake na kuanza kuchota yale maji.

Alipomaliza kuchota,akachukua mfuko wake wa rambo kwenye sketi yake na kuingiza kidumu chake. Watu wote tulikua tukimshangaa kuanzia pale alipokua anaanza kuvuka ule ukingo,kuchota maji na hata wakati anaondoka watu bado tulikua tukimshangaa.

Nilimuuza jirani yangu kuhusu matumizi ya yale maji maana kwa harufu ya yale maji,sidhani kama yanafaa hata kuogea lakini naye hakuwa na jibu.

Je maji ya bahari ya bahari yana matumizi gani?
Inawezekana huyo Dada ni msukuma katembelewa na babu/bibi yake,maana sisi wasukuma maji ya bahari ni confirmation kwamba ulikuwa pwani(dar) hasa kwa wazee wa zamani
 
Kuna mganga alinambia nkatafute machozi ya samaki ....

Enzi hizo namfukuzia aisha ...

Nliyapata wakuu
 
Jana mida ya jioni nilikua pale Kivukoni ferry nikimsubiri mtu, ghafla akaja mdada wa makamo anaelekea kwenye utuuzima hivi.

Yule mdada alikuja na gari yake ndogo hivi, akashuka kwenye gari huku akiwa na kidumu chake mkononi.

Alivuka ule ukingo ambapo mara nyingi watu wanakaaga na kuingia kwenye maji (ilimchukua muda sana mana alikua anaona aibu). Mwisho akaamua liwalo liwe, akajitosa na kidumu chake na kuanza kuchota yale maji.

Alipomaliza kuchota,akachukua mfuko wake wa rambo kwenye sketi yake na kuingiza kidumu chake. Watu wote tulikua tukimshangaa kuanzia pale alipokua anaanza kuvuka ule ukingo,kuchota maji na hata wakati anaondoka watu bado tulikua tukimshangaa.

Nilimuuza jirani yangu kuhusu matumizi ya yale maji maana kwa harufu ya yale maji,sidhani kama yanafaa hata kuogea lakini naye hakuwa na jibu.

Je maji ya bahari ya bahari yana matumizi gani?



Mkuu sikiliza, ni kwamba maji ya bahari pia hutumika kusafishia maji yaliyokuwa na vumbi (suspended particles), mfano kama maji ya bomba yanatoka na uchafu na huo uchafu unatuama na kuacha "fine suspense" bado zikielea basi mfano chukua kama lita mbili za hayo maji na ndani yake dindoshea kama matone 2-3 ya maji ya bahari subiri baada ya masaa 6-7, na uje uangalie matokeo, yatakuwa meupe peeee "cystal ckear".

Hii ni nafasi ya wataalamu wa kemia kudadavua huwa kinafanyika kitu gani katika jambo hilo.

Kuhusu mambo ya "kusafisha nyota" yawezekana watu wakawa na imani hiyo kwa sababu hayo maji ya bahari yana uwezo wa kusafisha maji yenye uchafu kwa hivyo wana amini kuwa "nyota chafu" inaweza kusafishwa pia.

Lakini hiyo ni imani potofu inayopelekea watu kufuata "ushirikina."
 
Mkuu sikiliza, ni kwamba maji ya bahari pia hutumika kusafishia maji yaliyokuwa na vumbi (suspended particles), mfano kama maji ya bomba yanatoka na uchafu na huo uchafu unatuama na kuacha "fine suspense" bado zikielea basi mfano chukua kama lita mbili za hayo maji na ndani yake dindoshea kama matone 2-3 ya maji ya bahari subiri baada ya masaa 6-7, na uje uangalie matokeo, yatakuwa meupe peeee "cystal ckear".

Hii ni nafasi ya wataalamu wa kemia kudadavua huwa kinafanyika kitu gani katika jambo hilo.

Kuhusu mambo ya "kusafisha nyota" yawezekana watu wakawa na imani hiyo kwa sababu hayo maji ya bahari yana uwezo wa kusafisha maji yenye uchafu kwa hivyo wana amini kuwa "nyota chafu" inaweza kusafishwa pia.

Lakini hiyo ni imani potofu inayopelekea watu kufuata "ushirikina."
Shukran mkuu
 
Sasa unamuuliza nani.

Kwanini hukumuuliza huyo dada?
 
Pia kuna viumbe flani wa baharini wanaitwa tondo, chwale, chimbachi, mirindi,hata chaza na jamaa ya konokono wa baharini huchemshwa na maji ya bahari ile taste iwepo na kuweza kuwatoa kwa urahisi zaidi kwenye jumba lao

Wengine tondo au kome huzichoma na moto na nyama yake ikajivuta tu
 
Back
Top Bottom