09 July 2023
PAPA FRANCIS AMTEUA MONSIGNORE PROTASE RUGAMBWA AMBAYE NI ASKOFU WA JIMBO LA TABORA TANZANIA KUWA KARDINALI
Baba Mtakatifu Papa Francis akiwa dirishani St. Peter's Square alipo toa taarifa za uteuzi
Shughuli rasmi ya kumpa cheo hicho na makadinali wengine wateule itafanyika mwezi September tarehe 30, 2023 Papa Francis ametoa taarifa hiyo katika St. Peter's Square leo
Makadinali wengine wapya wateule wanatoka nchi za United States, Italy, Argentina, South Africa, Spain, Colombia, South Sudan, Hong Kong, Poland, Malaysia, Tanzania, and Portugal.
Makadinali - wateule huvishwa bereta ile kofia nyekundu ya ukadinali na kuvishwa pete yenye nembo maalum inayoashiria kuwa Prince of the Church kuwa nembo ya washauri wakuu wa Baba Mtakatifu ambaye ni kama King of the Church. Hivyo makadinali ni kama watoto wanaoendeleza kanisa na ni washauri wakuu wa Papa.
Kazi nyingine ya makadinali ni kushiriki katika conclave ya kumchagua Baba Mtakatifu yaani Papa inapotokea hitaji hilo la kuchaguliwa Papa kumrithi baba mtakatifu aliyekuwepo ndani ya kanisa. Kuna kanuni Kadinali akifikisha miaka 80 ya umri asiwe na haki ya kupiga kura kuingia katika conclave ya kumchagua Baba Mtakatifu. Hali ya kiafya ikiwa siyo nzuri ya kadinali hata kama hajafikisha umri wa miaka 80 haruhusiwi kushirikia conclave ya kumchagua Baba Mtakatifu yaani Papa.
Tanzania imepata heshima pia huko nyuma kuwa na Kardinali Polycarp Pengo mwaka 1998 baada ya kufariki kwa Kardinali Laurean Rugambwa mwaka 1997. Kardinali Laurean Rugambwa ambaye alikuwa mwaafrika wa kwanza kuwa cardinal mwaka 1960.
26 Juni 2023
Mh. Samia Hassan anasema Baba Askofu Protase Rugambwa ni hazina na tunda jema la kiroho la Tanzania na Afrika kwa jumla
PICHA TOKA MAKTABA :
Papa akiwa na askofu Protase Rugambwa
PAPA FRANCIS AMTEUA MONSIGNORE PROTASE RUGAMBWA AMBAYE NI ASKOFU WA JIMBO LA TABORA TANZANIA KUWA KARDINALI
Baba Mtakatifu Papa Francis akiwa dirishani St. Peter's Square alipo toa taarifa za uteuzi
Shughuli rasmi ya kumpa cheo hicho na makadinali wengine wateule itafanyika mwezi September tarehe 30, 2023 Papa Francis ametoa taarifa hiyo katika St. Peter's Square leo
Makadinali wengine wapya wateule wanatoka nchi za United States, Italy, Argentina, South Africa, Spain, Colombia, South Sudan, Hong Kong, Poland, Malaysia, Tanzania, and Portugal.
Makadinali - wateule huvishwa bereta ile kofia nyekundu ya ukadinali na kuvishwa pete yenye nembo maalum inayoashiria kuwa Prince of the Church kuwa nembo ya washauri wakuu wa Baba Mtakatifu ambaye ni kama King of the Church. Hivyo makadinali ni kama watoto wanaoendeleza kanisa na ni washauri wakuu wa Papa.
Kazi nyingine ya makadinali ni kushiriki katika conclave ya kumchagua Baba Mtakatifu yaani Papa inapotokea hitaji hilo la kuchaguliwa Papa kumrithi baba mtakatifu aliyekuwepo ndani ya kanisa. Kuna kanuni Kadinali akifikisha miaka 80 ya umri asiwe na haki ya kupiga kura kuingia katika conclave ya kumchagua Baba Mtakatifu. Hali ya kiafya ikiwa siyo nzuri ya kadinali hata kama hajafikisha umri wa miaka 80 haruhusiwi kushirikia conclave ya kumchagua Baba Mtakatifu yaani Papa.
Tanzania imepata heshima pia huko nyuma kuwa na Kardinali Polycarp Pengo mwaka 1998 baada ya kufariki kwa Kardinali Laurean Rugambwa mwaka 1997. Kardinali Laurean Rugambwa ambaye alikuwa mwaafrika wa kwanza kuwa cardinal mwaka 1960.
26 Juni 2023
Salamu za Rais Samia kwa Askofu Mkuu Mwandamizi Protase Rugambwa zikiwasilishwa na Waziri Nape
Mh. Samia Hassan anasema Baba Askofu Protase Rugambwa ni hazina na tunda jema la kiroho la Tanzania na Afrika kwa jumla
PICHA TOKA MAKTABA :
Papa akiwa na askofu Protase Rugambwa