Je, Makonda atakubali kutumia gari na furniture za mtangulizi wake? Au atatafuta wahisani na kodi za umma kununua gari na furniture mpya?

Je, Makonda atakubali kutumia gari na furniture za mtangulizi wake? Au atatafuta wahisani na kodi za umma kununua gari na furniture mpya?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nimeona Makonda anaeleza kwamba amenusurika mara tatu kuuwawa; nimeona pia amekataa gari aliyoandaliwa kwenye mapokezi yake. Nimeona ameanza kukataa kupewa viwanja nikajiuliza wakuu wa mikoa waliotangulia upewa viwanja? Na nani ufanya hivyo?

Hofu kubwa aliyonayo akihusishwa na uafrika upo uwezekano hata kiti cha ofisi cha mtangulizi wake kikabadilishwa, furniture za nyumbani kwa. Mkuu wa mkoa the same.

Lakini pia uwezekano akawa anaishi hotelini na may be kwa muda mrefu kidogo akisubiri maboresho na kuondoa vitu vya mtangulizi wake...

Endapo haya yote yanatokea ni kweli tunaaminiana? Kama mtu amekosa imani na rasilimali za umma anapataje imani na uzalendo kwa Taifa lake?
 
Ninachokifahamu asilimia kubwa hizi nyumba na ofisi za umma, hasa ngazi ya mkoa na taifa mara nyingi huwa zinafanyiwa renovation kila mtumishi mmoja anapoondoka na kuingia mwingine.

The same na pale nyumba kuu, nyumba nyeupe, pale kwa namba moja wa Chama na serikali.

Machepele
 
Hizi promo za huyu bwana zinaenda kuleta shida sehemu
Muda utazungumza
 
Nimeona Makonda anaeleza kwamba amenusurika mara tatu kuuwawa; nimeona pia amekataa gari aliyoandaliwa kwenye mapokezi yake. Nimeona ameanza kukataa kupewa viwanja nikajiuliza wakuu wa mikoa waliotangulia upewa viwanja? Na nani ufanya hivyo?

Hofu kubwa aliyonayo akihusishwa na uafrika upo uwezekano hata kiti cha ofisi cha mtangulizi wake kikabadilishwa, furniture za nyumbani kwa. Mkuu wa mkoa the same.

Lakini pia uwezekano akawa anaishi hotelini na may be kwa muda mrefu kidogo akisubiri maboresho na kuondoa vitu vya mtangulizi wake...

Endapo haya yote yanatokea ni kweli tunaaminiana? Kama mtu amekosa imani na rasilimali za umma anapataje imani na uzalendo kwa Taifa lake?
Kama aliweza kufanya hivyo alipokuwa Dar, hata huko Ara Chuga anaweza kufanya.

Jasiri haachi asili!
 
Ninachokifahamu asilimia kubwa hizi nyumba na ofisi za umma, hasa ngazi ya mkoa na taifa mara nyingi huwa zinafanyiwa renovation kila mtumishi mmoja anapoondoka na kuingia mwingine.

The same na pale nyumba kuu, nyumba nyeupe, pale kwa namba moja wa Chama na serikali.

Machepele
Mleta mada soma hii, sio takwa la mtu binafsi bali ni utaratibu.
 
Hata akitumia za zaman hizo hela sitapewa, kwa hiyo sioni sababu ya kujadili
 
Ukiwa na viongozi wapenda uchawi na uaguzi ni hatari sana kwa taifa..

Huyu jamaa wala hana hata sifa Moja ya kuwa kiongozi..

Lakini kama Kuna mtu alikuwa haamini kuwa upo uchawi unaoweza kukipaka kinyesi mvuto na watu wakadhani ni ugali na wakaula kwa raha zao huku wakimwaga sifa kemkem kuwa upo, basi amini leo kuwa upo na mchawi wa Paul Makonda ni balaa..

Huyu Paul Makonda ni kinyesi tu kilichopakwa mvuto wa kichawi na watu wanakula kudhani ni ugali wa mhogo huku wakishangilia na kukenua meno..

Siku mvuto wa kichawi utakapo - expire na watu kujua kuwa hayo ni mavi tu, haohao kina Lucas Mwashambwa watakuwa wa kwanza kumpiga mawe mpaka afe .!!
 
Back
Top Bottom